Uchaguzi 2020 Angenda kuu za uchaguzi mkuu wa 2020 ni zipi?

Uchaguzi 2020 Angenda kuu za uchaguzi mkuu wa 2020 ni zipi?

Mpangawangu

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
887
Reaction score
965
Mitandaoni kila mtanzania anasema lake.

Vyama navyo kila kimoja kinayo maoni yake.

Mazimgira uchaguzi nayo ni mjadala wakujitegemea hasa eneo la tume huru ili watanzania wawe na uhakika wa kura zao kuheshimiwa.

Kwa maoni yangu hizi ndizo Agenda kuu za uchaguzi wa 2020.


1. Uchumi wa mtu mmoja mmoja

2. Usalama wa wananchi hasa baada ya kuibuka matukio ya watu kutekwa na kuuwawa.

3. Maslahi ya watumishi wa Umma.

4. Mifumo ya utoaji haki ,hapa tuzungumzie hizi kesi mpya za uhujumu uchumi zinazolenga kukomoana.

5. Utendaji kazi wa Bunge vs matumizi ya serikali yasiyoidhinishwa na Bunge

Wewe unashauri ajenda ziwe zipi?

Karibu Zitto Kabwe utudondolee.

Tundu Lissu tuwekee walau ajenda tatu.

Hamphley Polepole tuwekee agenda ziwe zipi.

Mnyika mwaga Agenda

Paul Mayala karibu tusikie maoni yako

Na wana jamvi wote,tijikite hapo kuelekea uchaguzi mkuu.
Nipo tayari kukosolewa.
 
Ajenda ya upinzani ni kupinga maendeleo na kumtukana Rais Magufuli
 
Ajenda ya upinzani ni kupinga maendeleo na kumtukana Rais Magufuli
Wewe umekuja muzodoa na si kutoa hoja za kujenga na kuoeleka mbele nchi yetu.
Kwani wewe kama ni mwana CCM hakutakuwa na ilani ya uchaguzi? Ungependa ndani ya ilani hiyo kuwe kumebebwa agenda gani?
 
Mitandaoni kila mtanzania anasema lake.

Vyama navyo kila kimoja kinayo maoni yake.

Mazimgira uchaguzi nayo ni mjadala wakujitegemea hasa eneo la tume huru ili watanzania wawe na uhakika wa kura zao kuheshimiwa.

Kwa maoni yangu hizi ndizo Agenda kuu za uchaguzi wa 2020.


1. Uchumi wa mtu mmoja mmoja

2. Usalama wa wananchi hasa baada ya kuibuka matukio ya watu kutekwa na kuuwawa.

3. Maslahi ya watumishi wa Umma.

4. Mifumo ya utoaji haki ,hapa tuzungumzie hizi kesi mpya za uhujumu uchumi zinazolenga kukomoana.

5. Utendaji kazi wa Bunge vs matumizi ya serikali yasiyoidhinishwa na Bunge

Wewe unashauri ajenda ziwe zipi?

Karibu Zitto Kabwe utudondolee.

Tundu Lissu tuwekee walau ajenda tatu.

Hamphley Polepole tuwekee agenda ziwe zipi.

Mnyika mwaga Agenda

Paul Mayala karibu tusikie maoni yako

Na wana jamvi wote,tijikite hapo kuelekea uchaguzi mkuu.
Nipo tayari kukosolewa.
Kwa elimu ya wapiga kura wa tanzania, all those are rubbish! People are moved by ushabiki na si sera/agenda! 99.999% wa Watanzania ni shitholes! wa philosophy of the so called political ideologies in elections. They are moved by Kanga, kofia, vitenge, rushwa ya elfu tano and such silly things!
 
Mitandaoni kila mtanzania anasema lake.

Vyama navyo kila kimoja kinayo maoni yake.

Mazimgira uchaguzi nayo ni mjadala wakujitegemea hasa eneo la tume huru ili watanzania wawe na uhakika wa kura zao kuheshimiwa.

Kwa maoni yangu hizi ndizo Agenda kuu za uchaguzi wa 2020.


1. Uchumi wa mtu mmoja mmoja

2. Usalama wa wananchi hasa baada ya kuibuka matukio ya watu kutekwa na kuuwawa.

3. Maslahi ya watumishi wa Umma.

4. Mifumo ya utoaji haki ,hapa tuzungumzie hizi kesi mpya za uhujumu uchumi zinazolenga kukomoana.

5. Utendaji kazi wa Bunge vs matumizi ya serikali yasiyoidhinishwa na Bunge

Wewe unashauri ajenda ziwe zipi?

Karibu Zitto Kabwe utudondolee.

Tundu Lissu tuwekee walau ajenda tatu.

Hamphley Polepole tuwekee agenda ziwe zipi.

Mnyika mwaga Agenda

Paul Mayala karibu tusikie maoni yako

Na wana jamvi wote,tijikite hapo kuelekea uchaguzi mkuu.
Nipo tayari kukosolewa.

Kama kuna uwezekano ungewatoa kwanza kwenye hiyo list yako watu kama Paul Makonda na Hamprey Polepole! Nina uhakika hawana mchango wowote ule kuhusiana na hicho unachokitaka.
 
Kwa elimu ya wapiga kura wa tanzania, all those are rubbish! People are moved by ushabiki na si sera/agenda! 99.999% wa Watanzania ni shitholes! wa philosophy of the so called political ideologies in elections. They are moved by Kanga, kofia, vitenge, rushwa ya elfu tano and such silly things!

Tangu Donald Trump aje na huo msemo, hatunywi maji! Ni vyema ukajianzishia utaratibu wa kunywa maji mengi ili kupunguza uwezekano wa kupaniki hovyo hovyo na bila sababu ya msingi.

Kwa hiyo mgombea wa Ukawa mwaka 2015 Mh. Lowasa alipata zile kura milioni 6 na ushee baada tu ya kuwagawia Watanzania kanga, kofia, vitenge na rushwa ya elfu tano tano! Huu ni uongo wa wazi kabisa! Kwenye hilo kundi la Mashitholes nina imani wewe ndiyo utakuwa ni Kiongozi wao mkuu.
 
Ajenda ya upinzani ni kupinga maendeleo na kumtukana Rais Magufuli
Sijawahi kusikia wapinzani wakimtukana Rais,,ila wanamkosoa na kumwambia ukweli,,,Ukibisha leta ushahidi wa matusi.... au laa basi kuwe na version mpya ya matusi kwenye lugha ya kiswahili... USICHUKULIE SIASA KAMA USHABIKI WA MPIRA UNALIPONZA TAIFA NA UNAFANYA WANASIASA WAJIONE MIUNGU WATU... JADILI SERA.. PENDA SERA CHAGUA SERA,,Sio kwa kukua una kasi ya chama FULANI basi liwalo na Liwe wewe na chama tu,,,huu ni Utopolo
 
kanga, kofia, vitenge na rushwa ya elfu tano tano
Huo ni utaratibu wa CCM wa kutoa rushwa na ndiyo maana mmeweka kituo cha kupokea malalamko ya rushwa kwa vle mnajua mwendo wenu ni Rushwa!
That is the right description of people of your caliber! .... shithole!
 
Huo ni utaratibu wa CCM wa kutoa rushwa na ndiyo maana mmeweka kituo cha kupokea malalamko ya rushwa kwa vle mnajua mwendo wenu ni Rushwa!
That is the right description of people of your caliber! .... shithole!

Nijibu swali nililo kuuliza hapo juu kuhusu kura milioni 6 za Lowasa mwaka 2015! Usikimbilie tu kwenye huo Ushithole wako. By the way, mimi si kada wa chama chochote kile cha kisiasa.
 
Back
Top Bottom