Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Angetile Osia amekuwa mwepesi sana kujifanya mchambuzi anayepinga kila jema la TFF, TFF wakifanya maamuzi yeye bila kuchelewa hujitokeza kuwapinga.
Angetile amewahi kuwa mtendaji wa TFF, aidha amewahi kuwa mhariri mkuu wa gazeti la Nipashe kwenye kampuni ya The Guardian Ltd pale Mikocheni.
Ni miongoni mwa wasomi wanaoweka sana ushabiki mbele kuliko ukweli halisia.
Leo utopolo inayoongozwa na Rais wake Eng. H ambaye ni mkurugenzi wa uwekezaji pale G..M imeingia mkataba na kampuni ya G...M ambayo Rais wake ni mkurugenzi wa uwekezaji wa G..M.Sote tunajua urais katika vilabu vyetu vya Simba na Yanga sio ajira, Rais wa Simba au Yanga anatakiwa awe na shughuli nyingine nje ya soka, Mhandisi H shughuli yake inayomweka mjini ni G..M, hao hao G..M wameingia makubaliano ya kisheria na Utopolo ambayo Rais wake ni bosi G..M.
Angekuwa Mo Dewji amefanya hivyo Leo kusingekalika humu mitandaoni, Mo dewji aliandika Mo 29 nchi ilichoka kwa maneno, haya yanayoendelea ni sahihi Bw Angetile?
Mbona umekaa kimya sana, unaogopa kumuudhi nani.
Mwisho, nimewahi kusoma mkataba wa Chifu Mangungo wa Msovero vs Dr Karl Peters, someni terms za mkataba wa chifu Mangungo mtakuja kunishukuru, hongereni kwa maendeleo makubwa mnayoyapata Utopolo.
Je, hatuoni tatzo hapa, yaani Rais wa klabu
Angetile amewahi kuwa mtendaji wa TFF, aidha amewahi kuwa mhariri mkuu wa gazeti la Nipashe kwenye kampuni ya The Guardian Ltd pale Mikocheni.
Ni miongoni mwa wasomi wanaoweka sana ushabiki mbele kuliko ukweli halisia.
Leo utopolo inayoongozwa na Rais wake Eng. H ambaye ni mkurugenzi wa uwekezaji pale G..M imeingia mkataba na kampuni ya G...M ambayo Rais wake ni mkurugenzi wa uwekezaji wa G..M.Sote tunajua urais katika vilabu vyetu vya Simba na Yanga sio ajira, Rais wa Simba au Yanga anatakiwa awe na shughuli nyingine nje ya soka, Mhandisi H shughuli yake inayomweka mjini ni G..M, hao hao G..M wameingia makubaliano ya kisheria na Utopolo ambayo Rais wake ni bosi G..M.
Angekuwa Mo Dewji amefanya hivyo Leo kusingekalika humu mitandaoni, Mo dewji aliandika Mo 29 nchi ilichoka kwa maneno, haya yanayoendelea ni sahihi Bw Angetile?
Mbona umekaa kimya sana, unaogopa kumuudhi nani.
Mwisho, nimewahi kusoma mkataba wa Chifu Mangungo wa Msovero vs Dr Karl Peters, someni terms za mkataba wa chifu Mangungo mtakuja kunishukuru, hongereni kwa maendeleo makubwa mnayoyapata Utopolo.
Je, hatuoni tatzo hapa, yaani Rais wa klabu