Angeuliza Bashiru Ally juu ya behewa used, Dkt. Kigwangalla angemshambulia

Angeuliza Bashiru Ally juu ya behewa used, Dkt. Kigwangalla angemshambulia

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau nawasalimu.

Toka Serikali itangaze kuwa imenunua Mabehewa ya Treni ya Kisasa Mbunge wa Nzega Vijijini amekuwa Mstari wa Mbele kuhoji Upya wake.

Kwa Tabia ya Kugwangalah Swali hili hili angeliuliza Balozi Bashiru Ally nina UHAKIKA Kigwangalah angeita PRESS kutaka Balozi BASHIRU ALLY AJIUZULU UBUNGE kwanini anahoji.

Kigwangalah ni mtu kigeugeu AKIPEWA UWAZIRI ni Mtu wa KUSIFIA SANA lakini AKIKOSA UWAZIRI ni Mtu wa MAJUNGU sana

Ushauri Kwa Kigwangalah SIO lazima Awe WAZIRI awaache na Wengine Wawe MAWAZIRI CHUKI na WIVU havitamsaidia KAMWE zaidi ya Kutengeneza MAADUI

Namkumbusha tu hata yeye hii HAIKUWA SANAMU HALISI ya BABA wa TAIFA Lakini FEDHA za UMMA ZILITUMIKA je na yeye ALITUCHOKEA SANAMU USED?

JamiiForums720653497.jpg
436865275.jpg
 
Kwa hiyo hayo mabehewa ni mapya, au ni used? Je, kuna harufu ya upigaji kupitia 10%, au hakuna?

Yametengenezwa nchi gani? Korea! Au Ujerumani, na baadaye kwenda kukarabatiwa huko Korea?

Hayo masuala ya Dr. Bashiru Ali, sijui huyo Kigwangala anautaka Uwaziri, ni kigeugeu, nk. Kwa upande wangu, naoona kama hayana mashiko ukilinganisha na hayo maswali yake aliyouliza.
 
Hiki kisanamu mbona kimefanana sana na Fredy Ntogwisango Saganda?

Ila ccm imejua kutuumiza mioyo, yaani wametuletea mabehewa ya mwaka 1984 halafu tunadanganywa eti ni mapya, huu si ndio uhuni wenyewe?

Haya kuweni wakweli sasa, hilo treni litakuwa linaenda kilometa ngapi kwa saa? Isije likawa na lenyewe maximum speed ni 60km/h
 
Wameshajua mama yao hataki tena sifa za kijinga, naona akili zimeanza kuwarudia.
 
Tofauti ya Bashiru na Kigwangalla siioni, wote wametumia Uhuru wao wa kikatiba wa kutoa maoni Lkn Kigwangalla alimshambulia sana Bashiru alipotoa maoni yake.
 
Kwa Tabia ya Kugwangalah Swali hili hili angeliuliza Balozi Bashiru Ally nina UHAKIKA Kigwangalah angeita PRESS kutaka Balozi BASHIRU ALLY AJIUZULU UBUNGE kwanini anahoji.
Usishangae kusikia ni syndicate?

Kuna mtu aliuliza humu nani wapo nyuma ya Bashiru?

Mwingine alihoji inawezekanaje chakula anachogawiwa tembo ni sawa na anachopimiwa sungura?
 
Wadau nawasalimu.

Toka Serikali itangaze kuwa imenunua Mabehewa ya Treni ya Kisasa Mbunge wa Nzega Vijijini amekuwa Mstari wa Mbele kuhoji Upya wake...
Mtajuana wenyewe. Sisi Watanzania maisha yametupiga.
 
Tofauti ya Bashiru na Kigwangalla siioni, wote wametumia Uhuru wao wa kikatiba wa kutoa maoni Lkn Kigwangalla alimshambulia sana Bashiru alipotoa maoni yake.
Tatizo very soon watafinyiwa kwenye suruali kama wanavyofanyiwa siafu
 
Ana hoji kama mtanzania mwenye haki ya kujua... Tusiingize siasa hadi kwenye haki zetu za kujua matumizi ya pesa zetu za kodi
Mbona hukuuliza Matumizi ya Pesa ya SANAMU FAKE ya NYERERE?
 
Wadau nawasalimu.

Toka Serikali itangaze kuwa imenunua Mabehewa ya Treni ya Kisasa Mbunge wa Nzega Vijijini amekuwa Mstari wa Mbele kuhoji Upya wake.

Kwa Tabia ya Kugwangalah Swali hili hili angeliuliza Balozi Bashiru Ally nina UHAKIKA Kigwangalah angeita PRESS kutaka Balozi BASHIRU ALLY AJIUZULU UBUNGE kwanini anahoji.

Kigwangalah ni mtu kigeugeu AKIPEWA UWAZIRI ni Mtu wa KUSIFIA SANA lakini AKIKOSA UWAZIRI ni Mtu wa MAJUNGU sana

Ushauri Kwa Kigwangalah SIO lazima Awe WAZIRI awaache na Wengine Wawe MAWAZIRI CHUKI na WIVU havitamsaidia KAMWE zaidi ya Kutengeneza MAADUI

Namkumbusha tu hata yeye hii HAIKUWA SANAMU HALISI ya BABA wa TAIFA Lakini FEDHA za UMMA ZILITUMIKA je na yeye ALITUCHOKEA SANAMU USED?

View attachment 2436178View attachment 2436183
Ujinga wa wengi ndiyo huu..!! MTU ANATOA HOJA, BADALA YA KUIJADILI HOJA ALIYOITOA, WANAMJADILI MTOA HOJA..!! BULLSHIT KABISA
 
Back
Top Bottom