Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Yes, until the end of the 1st half Algeria was on the lead by one nil, but Mali had better ball possession
 
Hivi Tanzania inacheza lini? Mimi niliona tulifungua michuano kwa kufungwa goli moja tu na Ivory Coast......tukashangilia sana ....Malawi si mnaona alichomfanya Algeria?
 
Second Half mali wamekuwa dhaifu sana. Marking zao mbovu na wamepoteza mipira sana.
Hii si mali ya akina Ismailia coolibally na akina ibrahima bagayoko. Midfield imeshindwa kabisa
kupeleka mipira kwa wafungaji.... kwakweli nimesikitika sana kwani mali is one of my best african team.
 
Hi mechi ya sasa hivi inaonyesha itakuwa nzuri kidogo....

Angola VS Malawi
 


Mohamed Sissoko alikuwepo na nondo zake
 
Mali wachovu sana walikuwa wanajichezea tu bila malengo utafikiri timu ya Maximo in green and yellow.Waalgeria walijipanga vizuri sana na walikuwa wanacheza according to their game plan.
 
Hivi Tanzania inacheza lini? Mimi niliona tulifungua michuano kwa kufungwa goli moja tu na Ivory Coast......tukashangilia sana ....

Tanzania hatumo mle mkuu!

Ile mechi ya mazoezi na Ivory Coast tuliyofungwa watu wakashangilia saaana na kusema ati TZ tuna kiwango sasa. Yaani tumefungwa na tunashangila. Sijui uwezo wetu wa kufikiri upoje.
 
malawi nimewakubali. hakuna cha manucho wala nani. first lady hajaja leo
 
malawi ni wafupi kwa hio wanacheza mpira wa chini. hatari kwenye lango la angola
 
Tanzania hatumo mle mkuu!

Ile mechi ya mazoezi na Ivory Coast tuliyofungwa watu wakashangilia saaana na kusema ati TZ tuna kiwango sasa. Yaani tumefungwa na tunashangila. Sijui uwezo wetu wa kufikiri upoje.

Maximo pia alipotakiwa na mwandishi wa habari (nadhani wa BBC) ataje mafanikio yake akiwa na Taifa Stars nilimshangaa aki''list'' mechi za kirafiki. Alisema mafanikio yake ni pamoja na kufungwa goli moja tu na Ivory Coast (timu itakayocheza WC) na kuifunga reserves ya New Zealand (ambao pia itakayocheza WC)
 
goli la pili kwa Parancas, uzembe wa ajabu kabisa wa beki ya Malawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…