mipangilio mibovu, lazima tuanze na mashindano ya chini, mwakani Rwanda wanaandaa mashindano ya chini ya miaka 17 kwa hiyo tujitahidi timu yetu ifikie huko,
1-kama umemsikia kocha wa timu ya Rwanda amesema timu iliyocheza na Ivory kuwa anaiandaa na mashindano ya CHAN mwakani, sasa sisi timewaita hadi wachezaji wa nje katika mechi yetu na Ivory kweli tuna mipango endelevu??