joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wakenya mbona mko na vichwa maji sana?, kabla hata Prof. Kabudi hajafika Tanzania, tayari mnaanza kutukanana.
Wakenya mbona mko na vichwa maji sana?, kabla hata Prof. Kabudi hajafika Tanzania, tayari mnaanza kutukanana.
Tatizo kuna wale wame-invest a lot for 2022 n this BBI thing is a stumbling block kwao! The Ruto's Kutangatanga team is a victim of this BBI thing!Hawa jamaa hata sijui wana matatizo gani kwakweli. Sasa hiyo katiba yao iliyopoteza pesa nyingi imewabadilishaje, mbona hali inazidi kuwa mbaya?