Mbangaizaji
Senior Member
- Jul 23, 2007
- 121
- 63
kuna mtu ana vidonge, tunaweza kuwa na kiti kingine cha ubunge kikifunguka hivi karibuni.
Nikipiga picha ya Tanzania ijayo nachanganyikiwa sipati picha Watanzania wenzetu watakavyokuwa, tumeuza viwanda, madini sasa tunauza vinu vya umeme tumewauzia wageni ambao watakuwa wanagonganisha glasi za mvinyo na serikali ikiwa `house boy na house girl` wananchi nao wakibakia kuwa watumwa`` ilisema sehemu ya ujumbe huo uliosomwa na Dk. Mwakyembe.
Alitaka serikali ibaki na vinu na vyanzo vya kuzalisha umeme na wawekezaji waruhusiwe kusambaza.
Nina omba mjue kwamba ni baada ya makelel ya JF na baadhi ya mijadala ya watu wenye usongo kwenye TV prog za hapa nyumbani na Dr.Slaa na Zitto na watu kuanza kuwazomea na kuwatukana kwa uwazi ndiyo maana wachache wameanza kuamka . Wanawasikia wananchi wanayo yasema na hata Kenya wamejionea wenyewe so nadhani they are serious kama si danganya toto . Unajua madongo ya JF wanapekewa live wengine wana watoto wao humu humu na ndugu zao . Sasa JF ndiyo macho na masikio ya watanzania . JF baada ya akina Zitto ndiyo chombe pekee tunapo anika hata kama ni speculations mwishowe huwa ni ukweli sasa wanakwama kabisa . Tuendelee kukata issue kwa nguvu hapa tuache mchezo .