Anguko la mfumo wa lawschool Tanzania

Anguko la mfumo wa lawschool Tanzania

fugees

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
2,868
Reaction score
883
Wadau wote wanaohusika, lawschool tanzania ipo matatani kutokana na mambo yafuatayo. 1. Kiwango cha udahili wa wanafunzi umekua mkubwa kufikia wanafunzi mia sita. 2. Ucheleweshaji wa matokeo kupita mda muafaka wakutoa matokeo.3. Wanafunzi wanasoma bila hela ya kujikimu yapata miezi mitano, cohort ya 16 wamefanya mitihani bila kupata hela yao ya vitabu na statutes, na cohort ya 17 wapo field hakuna hela yote waliopata POLENI LAWSCHOOL.
 
Shauri yao...watafute mahala pengine.Fursa imetolewa na Rais wa Msumbiji wakajaribu huko.Wakishindwa warudi kijijini.
 
Yani ni tatzo kubwa kweki yani hata walimu wa pale wanajua hilo harafu ufauru wa wanafunzi ni mdogo kweli na matatizo kama haya hao wanafunz4 wataelewa kweli hayo masonzo wanasoma bila hela na njaa zimewakamata utaona huruma walio na pesa ni watoto wa matajiri na wale insevisi ila kwa watoto wa wakulima ni huruma tupu anashndwa mpaka kununua kadesa ka sh 700 na nan awe sadaka kujitoa mana ni tatzo sana.
 
Back
Top Bottom