Team Leader1
Member
- Apr 13, 2020
- 5
- 0
ANGUKO LA MWIGULU NCHEMBA
Mwigulu ni sikio la kufa, amekuwa akiporomoka kuanzia ngazi ya familia, sasahivi amekuwa mzee wa vimada tu, baada ya kulipuliwa na wadau mbalimbali kuhusu Tabia ya kuwazini watoto wa kike anaowaahidi kuwasaidia halafu anawaongopea akishawatumia anawatelekeza.
Vijana wenye elimu kuanzia shahada moja na kuendelea wote waliojitokeza kugombea Udiwani,alihakikisha hawapati nafasi ya kupitishwa kugombea, mathalani Kata ya Tulya n.k.
Vijana wengi wa kike na wa kiume ni mashahidi ya uzandiki wa Mwigulu aliowafanyia.
KWA VIJANA - Mwigulu amekuwa akiombwa na vijana wengi awasaidie kuwaunganisha kwenye chanel za ajira lakini hajaweza kuwasaidia zaidi ya kuwadanganya na kuacha kupokea simu zao. Wengine anawaahidi kuwa akishinda Uchaguzi atawasaidia, hawa ni vijana wapya ambao hawamjui vizuri Mwigulu ambao ndo wanasubiri kutelekezwa hivi karibuni baada ya kushindwa.
KWA WAFANYABIASHARA- Mwigulu alipata connection kubwa na Wafanyabiashara pale alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, alikuwa akiwashawishi wampatie magari na vifaa vingine ili baadaye aweze kuwasamehe Kodi, allikuwa akiwaambia kuwa yeye yupo Jikoni kwahiyo hakuna taabu kuhusu kuwasamehe Kodi. Pia, Alipoteuliwa Kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, hapa alitumia muda mwingi kujiimarisha kwa wafanyabiashara kwamba yeye ni Rais Ajaye, Mipango imekamilika wayeye kuwa Rais ajaye (JPM Awe one term president). Pia, alitumia Timu ya Singida United kama njia ya Kujiimarisha na kujitangaza, mbinu zake zilinaswa mapema na alitumbuliwa kabla hajajipanga vilivyo, hapo Singida United ilianza kuporomoka kwa kasi, hiyo inamaanisha kuwa kulikuwa na mahusiano ya nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani na Timu ya Singida United, Timu ilikuwa inapata misaada mingi na kuna wakati aliwahikupokea Simenti na hiyo simenti iligawiwa kwa wachezaji, kila Mcheza alipewa mifuko Hamsini na kupelekewa anapotaka apelekewe, wachezaji wa kimaaifa waliuza na kupata pesa.
Wafanyabiashara wengine wamemkopesha hadi milioni 200, mwingine wa Dodoma anamdai pesa alikopa vifaa vya muziki, kwa wafanyabiashara ndo wanalia sana.
WAFANYABIASHARA WA MAHOTEL NA LODGE – Huku ndo balaa, Mwigulu anadaiwa kwenye maHotel na Lodge za kila Mkoa, Madeni ya kuifadhili Singida United, na kulala yeye binafsi, wabunge wenye mahotel wanalalamika sana kuhusu tabia yake.
VIONGOZI WA DINI, Mwigulu ni kama amewadhalilisha viongozi wa Dini, Katika Sherehe za Maulidi Nabii iliyofanyika Mji wa Shelui Iramba alikwenda kuwaahidi Gari aina ya Noah, kila akiulizwa anasema ngoja aiweke kwenye Diary ili akumbuke, Pia, aliahidi Tshs Milioni Tano katika Msikiti wa New Kiomboi hii ahadi ina miaka mitano sasa, inasemekana aliwaahidi tena milioni Tatu, hii ni kwa upande wa misikiti, sasa kwa makanisani ndio usiseme.
KWA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO - Mwigulu anawakopa mpaka mama Ntilie wanaishiwa mitaji. Anakwenda kulisha Magenge yake ya Kampeni na mikutano kwa mama ntilie, kumkopa chakula mama ntilie cha laki saba ni kuuwa mtaji wake, alikopa Misigiri na maeneo mengine.
KUTENGENEZA MIPANGO YA KUWADHURU VIONGOZI – Kuna taarifa ya kuwawekea sumu kwenye chakula baadhi ya viongozi hasa katika ngazi ya Wilaya, huo mpango ulipogunduliwa akawageuzia wale aliotaka kuwapa sumu kuwa wao ndio wanataka kumpa sumu yeye. Hilo suala linafahamika vizuri.
MPANGO WA SASA WA MWIGULU (PLAN B)
Mwigulu anawagawa wanachama kwa kuwaandaa kufanya vurugu ikiwa atashindwa kwenye mchakato wa kura za maoni. Amewaandaa katika baadhi ya Kata kama Kata ya Mtoa, n.k. kwamba anataka kuonesha CCM kuwa yeye anamtaji wa watu, hivyo atahama nao ikiwa matokeo yatakuwa sio ya Upande wake.
ANGUKO
Mwigulu kwasasa amechokwa na makundi mabalimbali, anachofanya sasahivi ni kuwalipa vijana kufanya vurugu tu katika mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali kuonesha kuwa hajafa bado anafurukura. Mazingira yaliowazi na shahiri kuwa wananchi hawana Imani na Mwigulu.
Mwigulu ni sikio la kufa, amekuwa akiporomoka kuanzia ngazi ya familia, sasahivi amekuwa mzee wa vimada tu, baada ya kulipuliwa na wadau mbalimbali kuhusu Tabia ya kuwazini watoto wa kike anaowaahidi kuwasaidia halafu anawaongopea akishawatumia anawatelekeza.
Vijana wenye elimu kuanzia shahada moja na kuendelea wote waliojitokeza kugombea Udiwani,alihakikisha hawapati nafasi ya kupitishwa kugombea, mathalani Kata ya Tulya n.k.
Vijana wengi wa kike na wa kiume ni mashahidi ya uzandiki wa Mwigulu aliowafanyia.
KWA VIJANA - Mwigulu amekuwa akiombwa na vijana wengi awasaidie kuwaunganisha kwenye chanel za ajira lakini hajaweza kuwasaidia zaidi ya kuwadanganya na kuacha kupokea simu zao. Wengine anawaahidi kuwa akishinda Uchaguzi atawasaidia, hawa ni vijana wapya ambao hawamjui vizuri Mwigulu ambao ndo wanasubiri kutelekezwa hivi karibuni baada ya kushindwa.
KWA WAFANYABIASHARA- Mwigulu alipata connection kubwa na Wafanyabiashara pale alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, alikuwa akiwashawishi wampatie magari na vifaa vingine ili baadaye aweze kuwasamehe Kodi, allikuwa akiwaambia kuwa yeye yupo Jikoni kwahiyo hakuna taabu kuhusu kuwasamehe Kodi. Pia, Alipoteuliwa Kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, hapa alitumia muda mwingi kujiimarisha kwa wafanyabiashara kwamba yeye ni Rais Ajaye, Mipango imekamilika wayeye kuwa Rais ajaye (JPM Awe one term president). Pia, alitumia Timu ya Singida United kama njia ya Kujiimarisha na kujitangaza, mbinu zake zilinaswa mapema na alitumbuliwa kabla hajajipanga vilivyo, hapo Singida United ilianza kuporomoka kwa kasi, hiyo inamaanisha kuwa kulikuwa na mahusiano ya nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani na Timu ya Singida United, Timu ilikuwa inapata misaada mingi na kuna wakati aliwahikupokea Simenti na hiyo simenti iligawiwa kwa wachezaji, kila Mcheza alipewa mifuko Hamsini na kupelekewa anapotaka apelekewe, wachezaji wa kimaaifa waliuza na kupata pesa.
Wafanyabiashara wengine wamemkopesha hadi milioni 200, mwingine wa Dodoma anamdai pesa alikopa vifaa vya muziki, kwa wafanyabiashara ndo wanalia sana.
WAFANYABIASHARA WA MAHOTEL NA LODGE – Huku ndo balaa, Mwigulu anadaiwa kwenye maHotel na Lodge za kila Mkoa, Madeni ya kuifadhili Singida United, na kulala yeye binafsi, wabunge wenye mahotel wanalalamika sana kuhusu tabia yake.
VIONGOZI WA DINI, Mwigulu ni kama amewadhalilisha viongozi wa Dini, Katika Sherehe za Maulidi Nabii iliyofanyika Mji wa Shelui Iramba alikwenda kuwaahidi Gari aina ya Noah, kila akiulizwa anasema ngoja aiweke kwenye Diary ili akumbuke, Pia, aliahidi Tshs Milioni Tano katika Msikiti wa New Kiomboi hii ahadi ina miaka mitano sasa, inasemekana aliwaahidi tena milioni Tatu, hii ni kwa upande wa misikiti, sasa kwa makanisani ndio usiseme.
KWA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO - Mwigulu anawakopa mpaka mama Ntilie wanaishiwa mitaji. Anakwenda kulisha Magenge yake ya Kampeni na mikutano kwa mama ntilie, kumkopa chakula mama ntilie cha laki saba ni kuuwa mtaji wake, alikopa Misigiri na maeneo mengine.
KUTENGENEZA MIPANGO YA KUWADHURU VIONGOZI – Kuna taarifa ya kuwawekea sumu kwenye chakula baadhi ya viongozi hasa katika ngazi ya Wilaya, huo mpango ulipogunduliwa akawageuzia wale aliotaka kuwapa sumu kuwa wao ndio wanataka kumpa sumu yeye. Hilo suala linafahamika vizuri.
MPANGO WA SASA WA MWIGULU (PLAN B)
Mwigulu anawagawa wanachama kwa kuwaandaa kufanya vurugu ikiwa atashindwa kwenye mchakato wa kura za maoni. Amewaandaa katika baadhi ya Kata kama Kata ya Mtoa, n.k. kwamba anataka kuonesha CCM kuwa yeye anamtaji wa watu, hivyo atahama nao ikiwa matokeo yatakuwa sio ya Upande wake.
ANGUKO
Mwigulu kwasasa amechokwa na makundi mabalimbali, anachofanya sasahivi ni kuwalipa vijana kufanya vurugu tu katika mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali kuonesha kuwa hajafa bado anafurukura. Mazingira yaliowazi na shahiri kuwa wananchi hawana Imani na Mwigulu.