Anguko la Wema Sepetu

Mic u binamu, yaan ungekuepo leo, sijui ingekuaje hata, [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Maisha yana kupanda weee then yaka shukaa weeeeeeee yakanda kidooooogo then ukafa basi unakuwa RIP kama Warumi
 
Simjui huyo Wema unayemsema lakini kama ni huyo hapo kwenye picha mimi naona ako poa tu. After all mwenyewe anaoneka yupo happy kabisa bidada wa watu.

Anayeteseka - definitely - ni wewe hapo ambaye hadi umekuja huku JF kumfungulia uzi!
Mchangueni ndugu yenu anunue gari siyo analialia mitandaoni kisa kaambiwa ukweli.
 
Mimi hakuna msemo naouheshimu kama ule wa "kuishi kwingi kuona mengi". Kwakweli mpaka tuzeeke tutakua tumeona mengi sana.
 
Wazungu sijui wapoje!nimekutana na mmoja mitaa ya Kino kambeba mtoto wa mbuzi halafu anaongea nae kama mtu. Mi nikaona duh ona sasa?
 
Diamond amsaidie bas japo kigari cha kutembelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…