Anguko la Yanga limechangiwa na Eng Hersi mwenyewe na GSM kuwa na tamaa ya madaraka ya kisiasa mwaka 2025

Anguko la Yanga limechangiwa na Eng Hersi mwenyewe na GSM kuwa na tamaa ya madaraka ya kisiasa mwaka 2025

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wakuu habari,

Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu.


Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za mashabiki zaidi ili kuwaweka karibu kwa kufanya siasa za kariakoo ili mradi kuwafurahisha mashabiki ambao ndio wapiga kura 2025,

msimu huu angalia usajili wa Yanga kaletwa Chama, Bareke na Dube kisiasa zaidi na sio kiufundi. Ilimradi kuwakomoa simba ili wanayanga tufurahi pia kuwavuta mashabiki wa chama jangwani. Unamsajili Bareke halafu unampa mkataba wa miezi sita na huna kazi naye, hivyo hivyo kwa dube na chama hawakuoaswabkuwa Yanga.

Kuelekea 2025 viongozi wamekuwa wakitoa misaada mbali mbali yenye mlengo wa kisiasa mfano ujenzi wa zahanati kongwa n.k

ukiangalia kiufundi utaina kuna mtu anautaka ubunge, na ubunge kuupata unahitaji mikakati, na mikakati yenyewe ndiyo hiyo.


Akili za viongozi wetu Yanga zinawaza siasa zaidi kuliko mpira, mfano sakata la Ally kamwe na Manara sisi wanayanga tunamuona Manara ni Liability ila kwa Hersi anamuona ni ASSET maana anawatu ana mashabiki wengi ambao ni wapiga kura. Mwisho wa sikubmigogoro ikaanza mpaka Ally kamwe akajiudhuru ghafla

Tamaa ya madaraka kisiasa ndio imetufikisha hapa tulipo, leo hii page ya Yanga inatumika kumsifia na kumpingeza kabudi.

Mtanielewa baadae msije kusema sikuwaambia

Kuondolewa kwa Gamond sababu kubwa inaweza kuwa ni kuwakataa watu wa Hersi magarasa ambao ni mtaji kwake kisiasa (manarq, chama, Bareke n.k)


Nawasilisha.
 
Wakuu habari,

Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu.


Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za mashabiki zaidi ili kuwaweka karibu kwa kufanya siasa za kariakoo ili mradi kuwafurahisha mashabiki ambao ndio wapiga kura 2025,

msimu huu angalia usajili wa Yanga kaletwa Chama, Bareke na Dube kisiasa zaidi na sio kiufundi. Ilimradi kuwakomoa simba ili wanayanga tufurahi pia kuwavuta mashabiki wa chama jangwani. Unamsajili Bareke halafu unampa mkataba wa miezi sita na huna kazi naye, hivyo hivyo kwa dube na chama hawakuoaswabkuwa Yanga.

Kuelekea 2025 viongozi wamekuwa wakitoa misaada mbali mbali yenye mlengo wa kisiasa mfano ujenzi wa zahanati kongwa n.k

ukiangalia kiufundi utaina kuna mtu anautaka ubunge, na ubunge kuupata unahitaji mikakati, na mikakati yenyewe ndiyo hiyo.


Akili za viongozi wetu Yanga zinawaza siasa zaidi kuliko mpira, mfano sakata la Ally kamwe na Manara sisi wanayanga tunamuona Manara ni Liability ila kwa Hersi anamuona ni ASSET maana anawatu ana mashabiki wengi ambao ni wapiga kura. Mwisho wa sikubmigogoro ikaanza mpaka Ally kamwe akajiudhuru ghafla

Tamaa ya madaraka kisiasa ndio imetufikisha hapa tulipo, leo hii page ya Yanga inatumika kumsifia na kumpingeza kabudi.

Mtanielewa baadae msije kusema sikuwaambia

Kuondolewa kwa Gamond sababu kubwa inaweza kuwa ni kuwakataa watu wa Hersi magarasa ambao ni mtaji kwake kisiasa (manarq, chama, Bareke n.k)


Nawasilisha.
Vinahusiano gani na utendaji, (ufanisi), wa timu
 
Wakuu habari,

Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu.


Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za mashabiki zaidi ili kuwaweka karibu kwa kufanya siasa za kariakoo ili mradi kuwafurahisha mashabiki ambao ndio wapiga kura 2025,

msimu huu angalia usajili wa Yanga kaletwa Chama, Bareke na Dube kisiasa zaidi na sio kiufundi. Ilimradi kuwakomoa simba ili wanayanga tufurahi pia kuwavuta mashabiki wa chama jangwani. Unamsajili Bareke halafu unampa mkataba wa miezi sita na huna kazi naye, hivyo hivyo kwa dube na chama hawakuoaswabkuwa Yanga.

Kuelekea 2025 viongozi wamekuwa wakitoa misaada mbali mbali yenye mlengo wa kisiasa mfano ujenzi wa zahanati kongwa n.k

ukiangalia kiufundi utaina kuna mtu anautaka ubunge, na ubunge kuupata unahitaji mikakati, na mikakati yenyewe ndiyo hiyo.


Akili za viongozi wetu Yanga zinawaza siasa zaidi kuliko mpira, mfano sakata la Ally kamwe na Manara sisi wanayanga tunamuona Manara ni Liability ila kwa Hersi anamuona ni ASSET maana anawatu ana mashabiki wengi ambao ni wapiga kura. Mwisho wa sikubmigogoro ikaanza mpaka Ally kamwe akajiudhuru ghafla

Tamaa ya madaraka kisiasa ndio imetufikisha hapa tulipo, leo hii page ya Yanga inatumika kumsifia na kumpingeza kabudi.

Mtanielewa baadae msije kusema sikuwaambia

Kuondolewa kwa Gamond sababu kubwa inaweza kuwa ni kuwakataa watu wa Hersi magarasa ambao ni mtaji kwake kisiasa (manarq, chama, Bareke n.k)


Nawasilisha.
Huna tofauti na kenge wengine
 
Hii sasa ni Yanga Makinikia, yaani ni mwendo wa kuokoteza makapi toka Simba na Singida, inasikitisha sana.
 
Wakuu habari,

Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu.


Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za mashabiki zaidi ili kuwaweka karibu kwa kufanya siasa za kariakoo ili mradi kuwafurahisha mashabiki ambao ndio wapiga kura 2025,

msimu huu angalia usajili wa Yanga kaletwa Chama, Bareke na Dube kisiasa zaidi na sio kiufundi. Ilimradi kuwakomoa simba ili wanayanga tufurahi pia kuwavuta mashabiki wa chama jangwani. Unamsajili Bareke halafu unampa mkataba wa miezi sita na huna kazi naye, hivyo hivyo kwa dube na chama hawakuoaswabkuwa Yanga.

Kuelekea 2025 viongozi wamekuwa wakitoa misaada mbali mbali yenye mlengo wa kisiasa mfano ujenzi wa zahanati kongwa n.k

ukiangalia kiufundi utaina kuna mtu anautaka ubunge, na ubunge kuupata unahitaji mikakati, na mikakati yenyewe ndiyo hiyo.


Akili za viongozi wetu Yanga zinawaza siasa zaidi kuliko mpira, mfano sakata la Ally kamwe na Manara sisi wanayanga tunamuona Manara ni Liability ila kwa Hersi anamuona ni ASSET maana anawatu ana mashabiki wengi ambao ni wapiga kura. Mwisho wa sikubmigogoro ikaanza mpaka Ally kamwe akajiudhuru ghafla

Tamaa ya madaraka kisiasa ndio imetufikisha hapa tulipo, leo hii page ya Yanga inatumika kumsifia na kumpingeza kabudi.

Mtanielewa baadae msije kusema sikuwaambia

Kuondolewa kwa Gamond sababu kubwa inaweza kuwa ni kuwakataa watu wa Hersi magarasa ambao ni mtaji kwake kisiasa (manarq, chama, Bareke n.k)


Nawasilisha.
Hela za KUHONGA TIMU PINZANI SASA HAKUNA, HELA ZA SINDANO NAZO TEE, MAREFA NAO HATUWEZI TENA KUHONGA.
PESA ZOOOOTE UCHAGUZI WA 2025
 
Sijaelewa Mkuu. Yaani autake ubunge halafu hapo hapo awakomoe mashabiki wa Simba. Unajua kuna makolo mangapi kwenye hilo jimbo analogombea? Kwa kura za makolo hazitaki sio?
 
Sijaelewa Mkuu. Yaani autake ubunge halafu hapo hapo awakomoe mashabiki wa Simba. Unajua kuna makolo mangapi kwenye hilo jimbo analogombea? Kwa kura za makolo hazitaki sio?
Kuuelewa huu uzi inahitaji angalau diploma na kuendelea
 
Kwa suala la kwenda Dodoma siku muhimu sana ya mechi muda mwingine naona walikosea,muda mwingine najijibu maybe asubuhi walikula breakfast na wachezaji,wakapeana abcd ndiyo wakaenda Dom.

NB: Kiufupi mpira wa Africa unachezwa nje na ndani.....siku ya mechi the whole day ilipaswa kuwa siku ya kucheza mechi
 
Watanzania wengi huwa na lengo la kuupata uongozi katika soka kwa ajili ya kujijengea mazingira mazuri ya kisiasa na ya kibiashara
 
Back
Top Bottom