Anguko la Yanga

Nikiona mtu anatoa povu kisa boli huwa naona kama sjui n mtu gan ....
Whatever the performance the guys wl be paid ..but wat about your family??
Nini kimekuleta humu mpumbavu kabisa wewe.

Wewe familia yako imefaidiaka nn wewe kukomenti humu.

Familia yako inafaidika nn wewe kuwa humu jukwaani jamii forum

Ni mangapi unayofanya ambayo family yako unafaidika.

Hiyo hela yabando kwanini Basi hukununua hata mkate ukapelekea wanao.

Mpira ni burudani km ambavyo ww umalaya ulivyo burudani kwako.

Acha kupangia watu maisha.

Wewe maisha ulisomea chuo gani? Hadi ukayapatia!
 
Muulize Huyo kichwa boga humu kwanza kafuata Nini.
 

Yanga amecheza mechi mbili tu za ushindani na amefunga goli mbili tu,Simba na ASAs,hizo goli tano za wapi
 
Unadhani wana akili hao?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kama mnasubiria yanga ianguke basi nyie ndio wachawii wenyewe
 
Yanga amecheza mechi mbili tu za ushindani na amefunga goli mbili tu,Simba na ASAs,hizo goli tano za wapi
Nilijua mleta uzi una akili timamu kumbe una mapungufu ya utimamu wa akili au pengine usimba wako unakufanya ukose akili. Yanga kamfunga Azam goli mbili, kamfunga Asas goli mbili na pia kamfunga Kaizer chief goli moja. Katika mechi alizocheza ni mechi moja pekee hakuweza kupata goli
 
Mada inahusu anguko la Yanga, ila ukiingia ndani unakutana na bla bla nyingine za simba!!
 
Tatizo tulilonalo kama taifa ni uhuru wa kujieleza umezidi sana!!
 
Mkuu njoo huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…