Kwa sasa hakuna madawa ya ngombe kama Gentamycin, Butalex, Butaline, OTC na mengine. Hakuna kabisa. Ng'ombe anaumwa anakufa unamuona bila msaada wa matibabu! Ndiko tulikofika Tanzania ya wanyonge!
Kwa sasa hakuna madawa ya ngombe kama Gentamycin, Butalex, Butaline, OTC na mengine. Hakuna kabisa. Ng'ombe anaumwa anakufa unamuona bila msaada wa matibabu! Ndiko tulikofika Tanzania ya wanyonge!