Fame and Fortune inatuharibia sana mambo.Nawasikitikia watoto waliowa adopt. Itakuwa ni kuwachanganya and sometimes for selfish reasons.
Kweli tunayojenga wanadamu hayajengwi ili yadumu milele.Ni mambo ya kupita tu.
Ni kweli mkuu. Nimeangalia google naona kama bado wako pamoja. Itakuwa ni yale mambo tunayaita udaku...hamna lolote.. ni media tu zinapenda waachane.. wenyewe walikuwa Haiti leo na jana.. .. the media can't wait to declare the split.. on the other hand divorce itoke wapi? hawajafunga ndoa kwani waliapa kuwa as long as gay people can not legally married everywhere in the US na wao hawatafunga ndoa..
hamna lolote.. ni media tu zinapenda waachane.. wenyewe walikuwa Haiti leo na jana.. .. the media can't wait to declare the split.. on the other hand divorce itoke wapi? hawajafunga ndoa kwani waliapa kuwa as long as gay people can not legally married everywhere in the US na wao hawatafunga ndoa..
Kwa maana hawa jamaa wanaishi tu!?hawajoana? ni kweli hii MMKJ?
Duh!basi hawa kweli wanaelewana
hawajaoana wana makubaliano tu..
hamna lolote.. ni media tu zinapenda waachane.. wenyewe walikuwa Haiti leo na jana.. .. the media can't wait to declare the split.. on the other hand divorce itoke wapi? hawajafunga ndoa kwani waliapa kuwa as long as gay people can not legally married everywhere in the US na wao hawatafunga ndoa..
hamna lolote.. ni media tu zinapenda waachane.. wenyewe walikuwa Haiti leo na jana.. .. the media can't wait to declare the split.. on the other hand divorce itoke wapi? hawajafunga ndoa kwani waliapa kuwa as long as gay people can not legally married everywhere in the US na wao hawatafunga ndoa..
thanks Mwanakijiji i was shocked na hii habari ..
hii couple naipenda mie ..