comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Leo nimepata bahati ya kutembelea akaunti ya Facebook ya Mh. Anna Elisha Mghwira Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro aliyestaafu na kubaini maono yake na kazi kubwa aliyoifanya- ASANTE
NUKUU
Bibi Maria amenitembelea ofisini na kueleza jambo lake. Licha ya changamoto zake nyingi, bibi bado ni mcheshi na mwenye natumaini. Anataka awe na makazi yake maana anasema kupanga ananyanyasika sana, anaibiwa kila wakati na kukosa amani.
Wazee wetu wengi wana changamoto hizi. Ninaomba jamii tuwatunze Wazee wetu. Tusiwaache wakihangaika baada ya kutuhangaikia sisi kukua na kufikia tutu uzima. Nyumba za kutunza wazee pia zinawapa upweke wazee. Wazee ni sehemu ya familia. Watunzwe, waheshimiwe, walindwe, wapewe mahitaji yao muhimu.
NUKUU
Bibi Maria amenitembelea ofisini na kueleza jambo lake. Licha ya changamoto zake nyingi, bibi bado ni mcheshi na mwenye natumaini. Anataka awe na makazi yake maana anasema kupanga ananyanyasika sana, anaibiwa kila wakati na kukosa amani.
Wazee wetu wengi wana changamoto hizi. Ninaomba jamii tuwatunze Wazee wetu. Tusiwaache wakihangaika baada ya kutuhangaikia sisi kukua na kufikia tutu uzima. Nyumba za kutunza wazee pia zinawapa upweke wazee. Wazee ni sehemu ya familia. Watunzwe, waheshimiwe, walindwe, wapewe mahitaji yao muhimu.