Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

Wakuu! Mama leo ameniomba nimwombee kwa staff wa JF kama itawapendeza basi waifute kabisa thread hii!! Inamkosesha amani,inamtisha! Tafadhali jamani,yaliyopita si Ndwele!
Hahahahahahahahahahahahahah daah this is Africa and this is Tanzania
 
Sema hivi, hivi hakuna wazazi wanaojinyima na wanakula mchicha na dona mlo mmoja ili kuwasomesha watoto wao english medium wakitegemea akifika Chuo kikuu na ufaulu mzuri atapewa mkopo?, jibu ni kwamba wapo wengi sana na mimi ni mmoja wao
Hongera baba wa makamo
 
Hivi huu mjadala bado upo? Au mama kesho cool?
Mama yuko chama la wana mkuu now.

Yale mawazo na harakati amezitupa jalalani..! Huu ni muda wa kwenda mbele kwa mbele...

Jf last seen yake ni october 2017. [emoji41][emoji41]

So! Mjadala umeisha huu.
 
Kwani huyu si ndo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. mbona ni kama analalamika chakula kibaya wakati wapishi anakaa nao jikoni!!!???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kipindi anaandika huu uzi alikuwa amevaa miwani yenye clear glass Hivyo aliweza kuona mbali.

Sasa hivi mama haoni tena mbali kwa kuwa amevaa miwani mieusi.
 
Mama yuko chama la wana mkuu now.

Yale mawazo na harakati amezitupa jalalani..! Huu ni muda wa kwenda mbele kwa mbele...

Jf last seen yake ni october 2017. [emoji41][emoji41]

So! Mjadala umeisha huu.
Atakuwa kaja na id mpya
 
Kipindi anaandika huu uzi alikuwa amevaa miwani yenye clear glass Hivyo aliweza kuona mbali.

Sasa hivi mama haoni tena mbali kwa kuwa amevaa miwani mieusi.


Mama yupo hoi yani anatamani dunia ingekuwa analogy aiseeee
 
[emoji41]
 
Mama asante maana hiyo itasaidia kuipunguzia serikali mzigo kwa asilimia fulani Mimi nipotayari kuchangia tukihamasishana tutajikomboa watoto wanalia .wakati wazazi wanawasomesha shule za kulipia walikuwa na kazi za kuajiriwa au kufanya bishara ndogondogo sasa aidha wamestafu au uzeee magonjwa ya umri yaani kipindi ambacho wanastahiri msaada sasa msaada hakuna .tufanye harambeee watoto wetu wafikie malengo yao .Mungu akubariki mama ukifanisha hili tutakukumbuka daima .
 
Loan Board inafanya nini mbona inabagua Watanzania, eti mzazi akiwa hata na leseni tu mwanae hapati mkopo, mtoto kasoma private school hapati mkopo. Mwishowe mtasema akitoka mkoa fulani asipewe mkopo kwao wamesoma sana. Itaenda itakuja kwenye ajira Mkoa flani asiajiriwe mkoa wao umeendelea sana. Ubaguzi hautaishia hapo. Mkoa huu wasifugungue tena shule mpya wanashule nyingi sana zinatosha. wasijengewe Hospital za Wilaya za misson zinatosha wameendelea sana. Mama mkuu wa Mkoa ubaguzi huu unauona?
 
Mama hebu pigania basi Mji wako wa Moshi upate hadhi ya Jiji hata uache legacy hapo Moshi.
 
Mama buana! Madaraka yamekulevya, umebaki ni wa kichungulia na kusepa kutekeleza ilani. Haya mama, ni wakati wako wa kula mema ya nchi hii.

Shikamoo madam Mgwira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…