epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 81
oohhh si huyu mama ni wa UMOJA wa mataifa..UBUNGE TENA KULIKONI??? Au kishaahidiwa kitu nini
kwanini asiwe waziri Mkuu kabisa?
Naona atakuwa anajishushia hadhi yake Ukurugenzi UN hadi Ubunge wa TZ :nono: bado haijakaa sawa kwangu
Naona atakuwa anajishushia hadhi yake Ukurugenzi UN hadi Ubunge wa TZ :nono: bado haijakaa sawa kwangu
Tupo na mzee baba sasabila shaka atakuwa creative kama magufuli. so we need her. If she perfome lower than our expectation, then she has to go.