Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Mchekeshaji aliyejipatia umaarufu kanda ya hii ya Afrika Mashariki na Umu Jamiiforums,baada ya kushinda best african comedian award at the Afro Australian Music and Movie Award ( AAMMA).
Ameamua rasmi kumuachisha kazi mme wake kazi ya kufundisha katika chuo cha Kyambogo ( Kyambogo University ) kwa wale mliowai kusoma Uganda mtakuwa mshawai kukisikia.
Hivyo kuanzia sasa Mr Gerald Ojok atakuwa meneja rasmi wa Kansiime na Kansiime ameaidi kumlipa mshahara mzuri kuliko aliokuwa anaupata akiwa lecturer.
Pia msanii huyo amepanga kufungua bar yake hivi karibuni.
Safi sana Kansiime hope utakuwa mfano bora kwa wanawake wa JF na wengineo.