Walimu mashaibuka tena, wewe mtumishi gani usiojua annual increment yako? Anyway annual increment have nothing to do with ongezeko kwenye take home yako, unajisumbua bure kaa kwa kutulia, anyway jifunze pia kuandika vizuri!Mwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
Annual increment inategemea na ngazi ya mshahara uliopo.Mwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
Hahhaahaaa, kuanzika ndio kikabila gani hicho?kaa kwa kutulia, anyway jifunze pia kuanzika vizuri!
Annual increment inategemea na ngazi ya mshahara uliopo.
Hahaha...harudi tena huyoHahhaahaaa, kuanzika ndio kikabila gani hicho?
Wazinzi banaaa 😅😅Inaweza isitoshe hata kununua rough rider
Atakuwa mwajiriwa mpyaWalimu mashaibuka tena, wewe mtumishi gani usiojua annual increment yako? Anyway annual increment have nothing to do with ongezeko kwenye take home yako, unajisumbua bure kaa kwa kutulia, anyway jifunze pia kuanzika vizuri!
Mwambie ajiandae kuongezewa 6000Atakuwa mwajiriwa mpya
Utakuwa umeajiriwa mwaka jana weweMwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
Annual Increment ya wafanyakazi wa huko TAMISEMI (walimu, VEOs, & WEOs) ni sawa na bureMwenye jedwari linaloonyesha annua increment ya kila mwaka kwa kada ya ualimu tunaomba atupie hapa tuone kinachoongezeka maana ongezeko la mshahara hapo ni 50% 50%
Nyama wapi!?!...sema ni tuhela twa makato ya ATMAnnual increments ni tuhela twa nyama kilo moja
Kabisa....utakuta baada ya makato wanabaki na shilingi 1000Inaweza isitoshe hata kununua rough rider