Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Hebu oneni hadi wasimamizi wakuu wa dini wanaujua ukweli, ila wafuasi ndiyo kwanza hawataki kuelewa. Narudia kusema dini zote zina abudu Miungu Dumas the terrible
 
Jambo lisilo la kawaida wanaamini kwamba kile ambacho hawajuhi/hawajawahi/kuona kipo, ila ambacho kimethibitishwa kuwepo katika both physical & Spritual aspects hawakiamini.
 
Aisee inafikirisha kwa kweli
 
wabishi yaani kitu kimoja kikutwe Misri,India,Iraq,Mexico na sehemu nyingine kibao Bado
Kama ambavyo hivi leo ukristo na uislamu umeenea maeneo mengi vizazi vijavyo vikija vitaona athari yake basi wanaweza kutumia hoja hiyo kwamba kwa kuwa dini hizo zimeenea kila angle ya dunia basi zina ukweli ndani yake.

Tukubaliane hivyo.
Bado wakione Nje ya Dunia yaani Mwezini Bado watu wabishi
Kuna mdau inasemekana alienda mwezini akaskia adhana ya kiislamu akiwa huko,waislamu wakadai kwamba hiyo ni ishara ya dini ya haki kusikika huko nje.

Tukubaliane pia katika eneo hilo kwamba kitu kikiwa na ishara huko mwezini ni ishara ya ukweli wake.
 
Ifike muda ujaribu tumia akili za ziada kureson mambo,hivi swala la Annunak ni swala la Imani?
Kabisa kaka ni suala la kuamini,na kwa sababu kubwa ya kuamini kwamba hao ndio wameumba binaadamu na hapo ndipo hoja yangu ilipo.

Nilishasema huko juu kwamba hakuna ushahidi unaoonesha kwamba annunaki kamuumba binadamu isipokuwa ni ushahidi wa kimaandiko tu.

nimeuliza je kuna technology iliyosema kwamba annunaki kamuumba binaadamu ?

Na nikakueleza huko juu kwamba hata watu wa dini wanatumia hoja ya hayo mabaki kama ishara ya watu wa kawaida tu wa hapo zamni ambao walikuwa na miili mikubwa,pengien nyie ndio mnawaita annunaki.

Haya tukubaliane kwamba sisi wana dini hao mijitu ya kale nyie ndio mnawaita annunaki sawa tukubaliane hivyo.

Je technolojia gani ilirudi nyuma ikagundua kwamba hawa annunaki ndio walikaa wakamtengeneza binadamu ?

Kwa sababu kama wamwjua hivyo tunategemea technology hiyo hiyo itumie kujua kwamba hao anunaki wametengenezwa na nani ?
Haya yoooote uliyotaja yanathibitisha tu kwamba kulikuwa na mijitu ya kale,lakini hayathibitishi kwamba hao majitu ndio yalimuumba mtu.


Pyramids za Giza
Kivipi pyramid za giza zinathibitisha au kuonesha kwwmba annunaki ndio kamuumba mtu ?
meso America
Kivipi meso america zinathibitisha kwwmba annunaki kamuumba mtu ?
Nazca lines kule Peru ni Imani au Sio?
Kivipi nazca lines za peru zinathibitisha kwamba annunaki kamtengeza mtu ?
Gabon Nuclear reactors ni Imani zile?
Kivipi gabon nuclear zinathibitisha kwamba annunaki kamuumba mtu ?
Rama setu bridge ni Imani?
Kivipi rama seru brige zinathibitisha kwamba annunaki kamuumba mtu mkuu ?
kazi za Wana wa Annak zinaonekana kote Duniani
Kivipi kazi za wana annunaki zinathibitisha kwamba huyo annunaki ndio kamuumba mtu ?


na juzi hapo wameenda zikuta mpaka Mwezini jiulize nani alifafanya
Kuna habari inasema kwamba kuna mtu pia alisikia adhana akiwa mwezini,pengine nayo ni siahara ya kwamba dini ya kiislamu inasound anga za mbali na kuonesha ukweli wake kama ambavyo ukweli wa annunaki upo huko mwezini ?
 
Samahani mkuu, naomba upitie sehemu nimeandika MESSIANIC CLOCK Kwa umakini & utulivu wa hali ya juu.
 
Hebu oneni hadi wasimamizi wakuu wa dini wanaujua ukweli, ila wafuasi ndiyo kwanza hawataki kuelewa. Narudia kusema dini zote zina abudu Miungu Dumas the terrible
Wataisoma basi,watapita kama hawajaiona maana imewazidi kimo Cha fahamu zao,ukitaka kujua ujinga wa Mwafrika muwekee chapisho gumu Hata hajihangaishi kuona kilichomo ila ujuaji Sasa,
Hiyo tabia mpaka Kwa viongozi wao wakiona mkataba umeendikwa kimalkia na page 50 hasomi anagonga sign tu inapitishwa mbere kwa mbere huo mkataba ukifika Kwa vichwa kama yule aliyepigwa risasi Dodoma anachambua madudu yote,ndio utaona oooh oooh tunaibiwa sana,walioupitisha Kwa aibu utaona wanahaha wamnyamazishe asiseme upupu waliosaini
Hizo ndio Akili za Mwafrika hasa mbongo!
 
Annunaki wapo na wanakaribia kurudi tena.
Kwenye uislamu kuna mpuuzi alitabiriwa atakuja anaitwa masihi dajjal,huyo jamaa ana nguvu za ajabu na miujiza mikubwa sana ambayo kuna watu watahisi yeye ni Mungu kabisa.

Najaribu kuunganisha doti aisjekuwa ndio annunaki aisee 😀😀

.tena atakuja akiwa na uwezo mkubwa saana mpaka wa kuumba vitu mbalimbali.

anaweza kusema mvua nyesha ikanyesha,mmea ota na ukaota n.k
Samahani mkuu, naomba upitie sehemu nimeandika MESSIANIC CLOCK Kwa umakini & utulivu wa hali ya juu.
Mkuu hiyo aishu nimeiona nimeisoma ila Sijaipata vizuri kwa sababu kuna vitu sijaelewa kutokana na ufinyu wangu wa lugha ya kizungu.

Ndio maana nimenyuti mkuu kwa sababu sijaielewa vizuri so siwezi kuchagia chochote pale.

Mimi napenda sana kuchangia kitu ambacho nimekielewa
 
muwekee chapisho gumu
Kuweka vitu vigumu sio sifa,bali kuvifanya vitu vigumu kuwa rahisi ndio vizuri.

Unaweka vitu vigumu i iweje sasa uonekane nondo sana au ?
Hata hajihangaishi kuona kilichomo ila ujuaji Sasa
Mimi nimelisoma hilo chapisho ila sijalielewa ndio maana sijachangia katika hilo chapisho.

Kutokuchangia chochote katika kitu usichoelewa pia tuhesabu ni katika ujuaji mkuu ?
 
Kama Lile chapisho hujaelewa basi Hilo ni tatizo lako binafsi na ndio maana Toka mwanzo wa mada hutuelewani umebaki kuuliza maswali Yale Yale yaliyojibiwa,
Hatuna mpango wa kumbadilisha Mtu ila Kila Mtu atabadilisha mtazamo Kwa maono yake na Kwa kutafuamta maarifa nje ya kile ulichokaririshwa
Hata Mimi mwanzo nilikua kama wewe ila baadae nikaona kabisa nilichokipata nje ya maarifa ya kawaida kina idhibati na kina make sense,nikabadilisha mtazamo kabisa hivyo Kila Mtu ana njia yake ya kusurvive
Baki na Yako na Mimi na yangu ila nimefanya wajibu wangu kuwahabarisha watu
Wao ndio watapokea au kukataa
Ila nashukuru wengi wameelewa nini tunamaanisha na wamelipokea na kwenda kuutafuta ukweli
Wewe kama unataka Kila kitu ukipate kupitia sisi hapa ila uanze ubishi bila kwenda field kujifunza
Basi hatuna msaada na wewe!

Noted!
 
Musa aliabudu kupitia dini gani?
 
Sema hapo ndipo tunapofeli walio wengi, vitu kama hivi kama hujapata muda mzuri wa kukaa ukavisoma kwa umakini na kufanya uchambuzi wako wa kina, huwezi kuelewa utaishia kuscroll na kupita tu.
 
Bora umekuwa muwazi, kuna watu mimi akiuliza najua kabisa hajasoma, unajua mwanzoni nilikuwa natenga muda kidogo na kutafsiri yote niliyoyasoma, kwa sasa nimeona nizileta kama zilivyo, ili kila mtu asome na kutafsiri mwenyewe kwa sababu tunatofautiana kwenye ujuzi wa kutafsiri, sababu nyingine kuna walioshindwa kujibu kwa hoja na kusema sijuhi kutafsiri kwahiyo nikaone ili twende sawa na kwa kuwa humu ni greater thinkers hoja zangu zote nianze kuzileta hivyo ili niondoe huo mkanganyiko.
 
Jamani nasisitiza, peponi hakuna kupewa bikra 72 wala mito ya maziwa flesh na mgando. Kwamba ndio malipo ya wewe kufanya mema duniani!???
hahahah subiri wale wazee wa kanzu fupi fupi na njunga + kobazi waje wakupopoe Mawe ewe kafir,
Mimi Simo kwenye Hilo na Sina msaada na wewe maana wataka uzuie maagizo ya Mwenyezimngu?
😁😁😁🔥
 
Mungu hatahusikaj ww wakati hazai? Hamumujuh kama n ke/me, au ndo yale kwamb amejiumba.
Umesoma maelezo vizuri na umeelewa Mkuu?
Uhusika wa Mungu ni kuumba kiumbe "Me" na "Ke" na kuwaumbia mifumo mbalimbali kwenye miili ya hao viumbe mifumo kama ya uzazi n.k Then hao viumbe wanazaliana. Bila ya Mungu kuumba kwanza kiumbe "Me" na "Ke" kungekua na kuzaliana? Je kungekua na kiumbe "Me" na "Ke"?
 
reproductive cloning, gene cloning ingia mtandaoni usome hapo huone wanachokifanya.
Onesha hicho kiumbe kilichoumbwa na kiumbe mwenye mwili kikapewa uhai wa kuishi na mwili huu wa nyama(with different organs).

Usije ukaniambia Robot tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…