Anonymous: Where you at? Malcom wants to know your name

daaagh.
., miaka ya 2006 hiyo"" mnyamwezi alitisha mnoo nahiyo ngoma aisee"" nilikuwaga naielewa mnooo daahh...haswaa pale kwEnye bridge ya TIMBERLAND"""

MZIKI MZURI UMETOWEKA NOW DAYS
 
daaagh.
., miaka ya 2006 hiyo"" mnyamwezi alitisha mnoo nahiyo ngoma aisee"" nilikuwaga naielewa mnooo daahh...haswaa pale kwEnye bridge ya TIMBERLAND"""

MZIKI MZURI UMETOWEKA NOW DAYS

2006 ulikuwa kidato cha ngapi ???
 
Hahahaha, lost in a mist!
Used to listen to him lots!
Remember Young Lloyd..??
young loyd ana ngoma yake moja inaitwa cupid ...ana nyungine yaitwa " lay ur head down on my pillow""" achilia mbali kile kibao kilichompatia umaarufu mnooo alichoimba na lil Wayne"" wajati huo lil Wayne ndio anakuja na moto haswaa""
then hapo katikati akaibuka Jamaa mmoja hivi anaitwa jay holiday"" daahh "" nilikuwa nawaelewa mnooo hao watu""
 

Jay Holiday Mzee wa Bed.....!
 
Bobby V sijui yu wapi siku hizi..kawimbo ka slow down kalikua kananikosha hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…