Another BossLady in the House, Hodiii

Frankly speaking, NIMEKAUKIWA NA MANENO { I'm speechless}.

You're real a gorgeous lady - boss lady [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] CONGRATS
 
Hahahahaa umenichekesha nimepiga picha babu wa watu ana mawazo tele hahahaah yupo anatuchora tu hapa akiwaza atuzukieje kwa mbwembwe zipi ili asiambiwe njoo pm
Una mashaka na mimi?
 
Wanasema ukiona Kobe kainama ujue anatunga sheria, nadhani anaweka mikakati ya revenge kwa waliompeleka gerezani.

Asprin kuna file liko mezani kwako, lifanyie kazi.
Ulisikia kuna mod kaRIP ujue Mungu kasikia kilio changu
 
Huna chembechembe hata moja ya ugeni.
 

Nitumie fee structure kwa PM nimwamishie mwanangu hapo shuleni kwako.
 
Natangaza kutaka kufanya mapenzi na ww apo madam husna
 
Usije kuomba mod watoe picha zako humu
Fikiri kabla ya kutenda usiongozwe na hisia. Usiponielewa nenda makaburini soma walau makaburi matano tarehe ya kuzaliwa,na tarehe ya kufa na kuzikwa baada ya hapo tafakari.
 
Looh hakun mgen alopokelewa na wenyeji wengi kam huyu mgen wamekupa mlo lakin
 
Looh hakun mgen alopokelewa na wenyeji wengi kam huyu mgen wamekupa mlo lakin
Nani kakwambia huyo mgeni?? Mwenyeji kitambo [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…