Ansbert Ngurumo na wanazi wenzako tambueni uwanja wa ndege Chato ni mali ya umma. Kamaa nyie ni wazalendo kweli kemeeni huu ufisadi unofanyika sasa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Naona mlikosa wapi pa kumkosoa hayati Magufuli mkabakiza kuleta majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma.

Hata kama pesa za kujenga uwanja wa ndege Chato hazikuidhinishwa na Bunge shida iko wapi? Kwa sheria ya bajeti hairuhusu kuhamisha mafungu?

Leo hii pesa za umma zinaibiwa na hazijengi viwanja vya ndege, shule, mahospitali na huduma za jamii. Mbona mpo kimya?
 
Punguza jazba mkuu
 

Hizi zinazoibiwa sasa hoji ww, wao wameamua kuhoji wizi wa dhalimu. Semeni 1.5t zetu mlizipeleka wapi.
 
Hizo dog acha zitumike, hata hivyo wamepuuzwa haswa,aibu yao
 
Mimi nafahamu hao kina sijui ngurumo wapo hapo wakilinda uhai wao dhidi ya daily bread of life na siyo kingine so, hata Bimkubwa akiondoka na akaja mwingine watamsema vibaya tu, sababu inafahamika.
 
Umewahi kula tunda kimasikhara?
 
Wewe hutetei uwanja bali unachotetea ni kutaka sote tuone kila alichofanya Magufuli ni sawa kwa kuwa mko busy mnahangaika kulinda legacy.
 
Wanataka U DC ndugu!
Hata wafanye nini. Wamtusi mpaka kule. Bado legacy yake yajieleza. Duniani kote. Hasa Afrika.
Long live JPM
 
Acha uchizi chizi wewe.
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Jibu hoja zako kwa utafiti kama walivyofanya wao.
Kuhamisha mafungu pia kuna taratibu zake lakini pia kwanini mafungu yahamishwe tu kwa ajili ya CHATO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…