Poa tu. Hii ni JF. Siyo lazima tukubaliane. Wewe sema chako nasi tutasema chetu. Bila matusi wala fujoLong live jpm kuna udongo unaishi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jiwe kesha sagika kuwa udongo siku nyingi imebaki mifupa tuuu
Mwamba alikuwa anachota pesa za umma anaenda kugawia ndg zake kijijini kwao, yure pareee, mpe Milioni 20, yule mpe kumi nk. Mzigo ukiisha anarudi BOT kuchota mwingine! Mwamba alitisha! Wanufaika wamebaki kutukana tu! Sisi wa tunduru sijui ni lini mwamba angekuja hata na Milioni 20 kutugawia japo Milioni Moja MojaHizi zinazoibiwa sasa hoji ww, wao wameamua kuhoji wizi wa dhalimu. Semeni 1.5t zetu mlizipeleka wapi.
Ukiwa timamu huwezi kuhangaika na Magufuli na uzushi wa trillion 1.5! Jiulize hao wema walioiba hela Railway wamefanywaje hadi sasa na licha ya ku over invoice? Zungumzia current issues za ripoti ya CAG upotevu ni kiasi gani na mama yenu mpendwa amefanya nini juu ya hilo.1.5 trillion ilitumikaje, udokozi hela za watu kwenye acc zilitumikaje
Weka ripoti za CAG hapa kipindi cha dhalimu ili tupime hayo matumizi mazuri ya hizo fedha.Sikuwahi. Maana niliona pesa za umma zikitumika vyema
Hizi zilitakiwa ziwe pesa za umma lakini ziliishia mifukoni mwa inner circle ya Magufuli kwenye offshore accounts zao.Sikuwahi. Maana niliona pesa za umma zikitumika vyema
Weka ripoti za CAG hapa kipindi cha dhalimu ili tupime hayo matumizi mazuri ya hizo fedha.
Sisi tunaangalia mendeleo yaliyofanyika na tukayaona kwa macho yetu. Hatutataki blaa blaa za uongo uongo.Weka ripoti za CAG hapa kipindi cha dhalimu ili tupime hayo matumizi mazuri ya hizo fedha.
Yaani upotevu wa 1.5 trilioni ni kutumika vema? Kweli mahapa hufumaza akili na kupofusha macho.Sikuwahi. Maana niliona pesa za umma zikitumika vyema
Dogo umaskini mbaya sana. Unakufanya uone ni makosa kwa wengine kupanda ndege kwenda Chato.Lilijijengea uwanja wake tu,unafikiri kuna abiria wa kwenda kule!
Lilikuwa fujaji sana.
Wewe usiwe mpayukaji kila unaposikia mtu ana mkosoa huyo mungu wenu chizi wa chato! Hapo ulipo hata kitabu chenyewe hujakisoma una weweseka tuNaona mlikosa wapi pa kumkosoa hayati Magufuli mkabakiza kuleta majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma.
Hata kama pesa za kujenga uwanja wa ndege Chato hazikuidhinishwa na Bunge shida iko wapi? Kwa sheria ya bajeti hairuhusu kuhamisha mafungu?
Leo hii pesa za umma zinaibiwa na hazijengi viwanja vya ndege, shule, mahospitali na huduma za jamii. Mbona mpo kimya?
Ile Makala umeifuatilia vyema?Ngurumo ameeleza vyema kuwa uwanja wa chato hauna abiria.Naona mlikosa wapi pa kumkosoa hayati Magufuli mkabakiza kuleta majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma.
Hata kama pesa za kujenga uwanja wa ndege Chato hazikuidhinishwa na Bunge shida iko wapi? Kwa sheria ya bajeti hairuhusu kuhamisha mafungu?
Leo hii pesa za umma zinaibiwa na hazijengi viwanja vya ndege, shule, mahospitali na huduma za jamii. Mbona mpo kimya?
Umeandika takatakaNaona mlikosa wapi pa kumkosoa hayati Magufuli mkabakiza kuleta majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma.
Hata kama pesa za kujenga uwanja wa ndege Chato hazikuidhinishwa na Bunge shida iko wapi? Kwa sheria ya bajeti hairuhusu kuhamisha mafungu?
Leo hii pesa za umma zinaibiwa na hazijengi viwanja vya ndege, shule, mahospitali na huduma za jamii. Mbona mpo kimya?
Kitabu kinajadili ufisadi wa Magufuli! Kwakuwa katajwa Magufuli wewe huoni kuwa huo ni ufisadi. Unataka ujadiliwe ufisadi wa sasa? Wewe akili zinakutosha kweli? Unajua maana ya huo ufisadi kweli?Tindo my bro mbona unachanganya mambo? Unapigia chapuo ufisadi?
Siwezi kuwa dogo kwako,ndiyo maana huna akili unaongea upuuzi.Dogo umaskini mbaya sana. Unakufanya uone ni makosa kwa wengine kupanda ndege kwenda Chato.
Yaani we ndo hamnazo kweli! Yaani uanaona poa tu katiba kuvunjwa wakati rais anaapa kuilinda kwa dhati kabisa: eti hata kama.hazikupitishwa bungeni shida Iko wapi! Hivi una akili kweliNaona mlikosa wapi pa kumkosoa hayati Magufuli mkabakiza kuleta majungu yasiyokuwa na mbele wala nyuma.
Hata kama pesa za kujenga uwanja wa ndege Chato hazikuidhinishwa na Bunge shida iko wapi? Kwa sheria ya bajeti hairuhusu kuhamisha mafungu?
Leo hii pesa za umma zinaibiwa na hazijengi viwanja vya ndege, shule, mahospitali na huduma za jamii. Mbona mpo kimya?
Unajua jinsi tulivyokuwa tunataabika bila ajira zozote kwamba serikali haitoe ajira ila ujenzi tu.Sikuwahi. Maana niliona pesa za umma zikitumika vyema
Ahahahahaha!!!Siwezi kuwa dogo kwako,ndiyo maana huna akili unaongea upuuzi.
Blaa blaa huoni Bwawa la Rufiji ambalo Dhalimu aliliacha 30%Sisi tunaangalia mendeleo yaliyofanyika na tukayaona kwa macho yetu. Hatutataki blaa blaa za uongo uongo.