Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unguja pia watu wamesali pale kibanda maiti
Wenye sikukuu wemyewe ni kama hawaaminiani.Sikukuu hi kwanin kama ina changanya?
Cha msingi ni kupuuza kila kinachohusiana na kisichokuhusu, mimi ndivyo nifanyavyo siku zoteSikukuu hi kwanin kama ina changanya?
Kwanini uchanganyikiwe kwa yasiyokuhusu?Sikukuu hi kwanin kama ina changanya?
leo ni SikukuuSo what?
[emoji23][emoji23]Wenye sikukuu wemyewe ni kama hawaaminiani.
Hao ndio Wale wavaa vipedo na makobazi?
Siyo vipedo, ni suruali fupi zisizogusa uchafu wa chini.Hao ndio Wale wavaa vipedo na makobazi?
jina Lake hasa ni lipi hasa?Siyo vipedo, ni suruali fupi zisizogusa uchafu wa chini.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Tatizo libakwata tu,Jana nampeleka mwanangu shule naambiwa rudini ni sikukuu ya wasunni leo, na kesho (Yaani leo) asije kwakua itakua sikukuu ya Washia.
Jana nikawa nashangaa kila mtu hajui kama leo washia wataadhimisha ama la. Leo naamka naambiwa ndiyo sikukuu ya wasunni sasa.
Mwanangu anasema wamefunga shule.