K Kutoka Mirembe JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 294 Reaction score 87 Jun 11, 2014 #21 sasa mwisho si utakuta advance level na walimu pia wanajibu?? Unatumia mbinu gani kujua kuwa aliye jibu swali ni mlengwa(mwanafunzi wa level husika?)
sasa mwisho si utakuta advance level na walimu pia wanajibu?? Unatumia mbinu gani kujua kuwa aliye jibu swali ni mlengwa(mwanafunzi wa level husika?)
S Shirly Member Joined May 5, 2014 Posts 13 Reaction score 4 Jun 11, 2014 #22 Asante mtoa mada nashukuru sana.Kwa wale waliouliza nipo level gani Mimi ni mwalimu ngazi ya cheti ilabado sijaajiriwa.
Asante mtoa mada nashukuru sana.Kwa wale waliouliza nipo level gani Mimi ni mwalimu ngazi ya cheti ilabado sijaajiriwa.
S Shirly Member Joined May 5, 2014 Posts 13 Reaction score 4 Jun 11, 2014 #23 Niliishia kidato cha nne,nikajiunga na chuo cha ualimu VIKINDU,Ila bado sijaajiriwa.
tpaul JF-Expert Member Joined Feb 3, 2008 Posts 24,225 Reaction score 22,632 Jun 12, 2014 Thread starter #24 Kutoka Mirembe said: sasa mwisho si utakuta advance level na walimu pia wanajibu?? Unatumia mbinu gani kujua kuwa aliye jibu swali ni mlengwa(mwanafunzi wa level husika?) Click to expand... Ninaangalia usahihi wa majawabu yake. Majawabu ya mwalimu au wanafunzi wa A-level yanakuwa 100% correct lakini ya wanafunzi yana-range kati ya 95% hadi 99%
Kutoka Mirembe said: sasa mwisho si utakuta advance level na walimu pia wanajibu?? Unatumia mbinu gani kujua kuwa aliye jibu swali ni mlengwa(mwanafunzi wa level husika?) Click to expand... Ninaangalia usahihi wa majawabu yake. Majawabu ya mwalimu au wanafunzi wa A-level yanakuwa 100% correct lakini ya wanafunzi yana-range kati ya 95% hadi 99%