Anthonio Guterres yuko sahihi, HAMAS sio magaidi

Anthonio Guterres yuko sahihi, HAMAS sio magaidi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Anthonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) alilazimika kuyakana matamshi yake kuhusu HAMAS baada ya kulaumiwa na Israel kwa kauli yake kuwa HAMAS ni wapigania ardhi yao iliyokaliwa kimabavu na Israel kwa miaka mingi sasa. HAMAS waliishambulia Israel na kuua wanajeshi wengi wa Israel kama sehemu ya kilio chao ambacho hakuna mtu anaekisikia. Hamas wamenifundisha kuwa ni heri kufia juu ya meza ukipambana na adui mwenye nguvu kuliko kufia uvunguni mwa kitanda kwa njaa ukiwa umejifika kwa kumuogopa adui.

Hamas walijua kuwa Israel ina nguvu kuliko wao na haya yanayotokea sasa yangetokea lakini waliona ni heri ya hivi kuliko vile ambavyo wangenyamaza kama kwamba hana tatizo. Leo hii dunia nzima inawasikiliza na imegawanyika kuhusu vita ya Israel. Na kwavyovyote vile vita hii imekwenda kudhoofisha vita ile ya Ukraine na Urusi kwakuwa undumilakuwili wa dunia na magharibi unaanikwa hadharani.

Hamas ni magaidi kivipi?
 
anthony guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) alilazimika kuyakana matamshi yake kuhusu HAMAS baada ya kulaumiwa na Israel kwa kauli yake kuwa HAMAS ni wapigania ardhi yao iliyokaliwa kimabavu na Israel kwa miaka mingi sasa. HAMAS waliishambulia Israel na kuua wanajeshi wengi wa Israel kama sehemu ya kilio chao ambacho hakuna mtu anaekisikia. Hamas wamenifundisha kuwa ni heri kufia juu ya meza ukipambana na adui mwennye nguvu kuliko kufia uvunguni mwa kitanda kwa njaa ukiwa umejifika kwa kumuogopa adui.

Hamas walijua kuwa Israel ina nguvu kuliko wao na haya yanayotokea sasa yangetokea lakini waliona ni heri ya hivi kuliko vile ambavyo wangenyamaza kama kwamba hana tatizo. Leo hii dunia nzima inawasikiliza na imegawanyika kuhusu vita ya Israel. Na kwavyovyote vile vita hii imekwenda kudhoofisha vita ile ya Ukraine na Urusi kwakuwa undumilakuwili wa dunia na magharibi unaanikwa hadharani.

Hamas ni magaidi kivipi?
Kwa hiyo kumfuata mtu ghafla na kuanza kumshambulia kwako ni jambo jema tu! "kanya kuku kanya, kanya bata kaharisha"
 
Kwa hiyo kumfuata mtu ghafla na kuanza kumshambulia kwako ni jambo jema tu! "kanya kuku kanya, kanya bata kaharisha"
Gutterres kasema Hamas imekuwa provoked, alichokifanya ni reaction tu ambayo kila mtu angepaswa kufanya vile.
 
Sasa kama sio Magaidi, mbona wameteka Watanzania wenzetu ambao hawahusiki na Vita yao...
 
Sasa kama sio Magaidi, mbona wameteka Watanzania wenzetu ambao hawahusiki na Vita yao...
Sidhani kama hata wanaelewa maana ya neno gaidi (terrorist), hamas walichofanya ni ugaidi dhidi ya wakazi wa Israel full stop.
 
Sasa kama sio Magaidi, mbona wameteka Watanzania wenzetu ambao hawahusiki na Vita yao...
Walichofanya Hamas ni kutaka kusikilizwa na dunia kuhusu haki Yao inayochukuliwa na nchi za Magharibi.
 
Back
Top Bottom