Anthony Diallo anazeeka vibaya

Mie namuunga mkono Diallo, mahojiano yake kwenye ajenda! Yuko sahihi wacha watu wafunguke uenda hayata jirudia!
 
Vyombo vya habari vya Diallo vimeibeba sana ccm na Magufuli wake wakati wa chaguzi zote mbili zilizomuhusisha mwendazake. Diallo alitegemea hisani kubwa kutoka serikali ya ccm kutokana na mchango huo lakini badala yake wakavifungia vyombo hivyo!! Naona hapo uzalendo ulipomshinda Diallo!!😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…