Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Daah...huyu dogo Joshua ni balaaSina hakika nao. Tv 1 wameanza kuonesha.
Joshuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa team shojua hoyeeeeeeeRASMIIIIII THE WINNER IS ANTOOOOOOONY JOSHUAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Dogo kajitahidi tumpe hongera zke ila akaze aseee bdo ana matatzo!Klitchko kapigwa kiume.ukiona unamwangusha mtu zaidi ya mara tatu na bado anaamka ujue ni kidume.furaha iliyoje leo katika nchi ya malkia.
ITS ALL OVER,DOGO KADUNDA MTU KIUKWELIDaah...huyu dogo Joshua ni balaa
Looooo jamaaaanniiBabu apumzike sasa atakujakufa kwenye ulingo