stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Afadhari ya Fury, wasimharakishe kupigana na Deotany Wilder, WBC champ, atapigwa vibaya anamengi ya kujifunza bado. Ushindi wa Leo ni kutokana na uzee wa Vladimir.Tusubiri akipige na Tyson Fury,
Hii gemu imeniuma sana
Huyu dogo alipaswa kula KO ya maana ila ndo hivo tena , Wladmir kaniangusha despite all the efforts he has put fowardKwanini mkuu?
Kweli kaka mapungufu yake yalikuwa yanaonekana wazi hata kwa mtu asiye na ujuzi mwingi wa mchezo.kudos to him tho,ujana umembeba.mind games za klitchko zilifeliAfadhari ya Fury, wasimharakishe kupigana na Deotany Wilder, WBC champ, atapigwa vibaya anamengi ya kujifunza bado. Ushindi wa Leo ni kutokana na uzee wa Vladimir.
Hata Mimi na majaji wengine tumeona hivo ila mchizi sijui kawaje round 11, yaani kapigwa kama kapuliziwa dawa,. Yaani kammudu round zote ila tu ya 11, afu dogo naye nafanya kama marehemu Muhammad Alli ,michezo ya kumtegea opponentLakini mkuu.. aliyekula mingumi nimeona kama ni klichko??[emoji15] au TV yetu tu
Hata Mimi na majaji wengine tumeona hivo ila mchizi sijui kawaje round 11, yaani kapigwa kama kapuliziwa dawa,. Yaani kammudu round zote ila tu ya 11, afu dogo naye nafanya kama marehemu Muhammad Alli ,michezo ya kumtegea opponent
Tyson Fury ana skillz sana.Fury vs AJ patachimbika.Tyson Fury kakubali kudance na AJ.. tusibiri hiyo.
hivi akishaslimu inawasaidia nn haswa?? kwahy ht tyson walimconvice hao hao auHuyo mwingereza mwenye asili ya nigeria hataree. Naskia waarabu wanamfuata fuata na kumuhonga asilimu lakini jamaa kawachomolea
Wanakera sana hao watu wenye udini udinihivi akishaslimu inawasaidia nn haswa?? kwahy ht tyson walimconvice hao hao au
Ni kweli hana pumzi lakini inategemea anapambana na nani maana kwa yule klitschko jeb yake tu ni sawa na konde.Nimefurahi kijana mwenzangu,Muafrica mwenzangu umeshinda pambano ambalo kila mtu na hata sisi weusi wenzio tulijua unakalishwa hasa pale ulipoleweshwa Na makonde mazito.
Kiufupi unajua kuzichapa ila ombi langu kama unajua kiswahili Mimi ndugu yako katika "Ngozi" naomba hebu Nenda kalifanyie kazi swala la "pumzi" ..pumzi huna kabisa Mkuu.Yaani pambano la Leo kama ungekutana Na mtu kama Tyson, Haya maneno yako "Can I go home" ungeenda kuyatamkia hospitalini St Thomas.