Anthony Joshua amtwanga kwa KOs Mrusi Alexander Povetkin

Anthony Joshua amtwanga kwa KOs Mrusi Alexander Povetkin



POST FIGHT: Anthony Joshua said his number 1 choice to fight next would be Deontay Wilder
 
Sijawahi kumkubali Wilder,anapigana kwa fujo sana bila timing,tatizo boxer anaokutana nao hawana mbinu...akikutana na AJ haki ya Mungu yule Chinga ataogelea mingumi mpk ataacha kubwabwaja bwabwaja kama mlinzi wa Hospitali...

Wewe mshabiki ndo unaongea, kambi ya AJ inaogopa kupoteza game.

Inaweka masharti magumu, ila ipo siku tu.
 
Dah nikajua nae mtanzania Jamani
Mtanzania ni Mimi hapa Arafati Ngumi Jiwe,
Nilikuwa boti moja na Mohammed Ali,Tyson.


Africa(Tanzania )katika sekta ya Michezo bado tunachangomoto.

Taasisi za michezo Kuna mambo mengi yanaendeshwa isivyoutaratibu hivyo kupata vipaji kupeperesha Taifa hutokea kwa nadra.

Kila kitu kinawezekana tukiweka nia,Penye nia pana njia.
 
Nashangaa huyu myoruba Joshua hajamzidi kale kameiwather utajir.
Pay per views ndio mpango mzima kwenye kutengeneza pesa. Ndio maana majadiliano ya pambano la Wilder na AJ yalivunjika.

Waingereza wanapenda kupigana kwenye ardhi yao(stadium) wakati Wamarekani wamekaa kibiashara zaidi kwenye pay per views.

Hongera kwake, tunasubiri pambano na Deontey Wilder.
Nafikiri AJ amepata fundisho baada ya kutolewa damu za pua.
Lazima atafute mbinu za kukaa mbali na lile kono la kulia la Wilder
 
Wewe mshabiki ndo unaongea, kambi ya AJ inaogopa kupoteza game.

Inaweka masharti magumu, ila ipo siku tu.
Mbona offer aliyokubali Wilder against Tyson Fury inasemekana ni ndogo kuliko offer aliyopewa na Anthony Joshua? Tatizo Wilder anataka kupata umaarufu kwa mgongo wa Anthony Joshua.

Ukitoa pambano dhidi ya yule Mcuba hajakutana na mabondia walioshindikana. Yule big mouth Wilder atapigwa kipigo cha mbwa koko na Anthony Joshua ....subiri
 
Let us wait and see
Wilder anataka malipo karibia sawa na Anthony Joshua na hataki rematch kwanini?

Eti anagoma kusign contract kwavile venue na date haijatajwa! Si anapiga kelele yupo tayari any time!

Wilder ana maneno mengi kama kazaliwa Tandale bana ...
 
Wilder anataka malipo karibia sawa na Anthony Joshua na hataki rematch kwanini?

Eti anagoma kusign contract kwavile venue na date haijatajwa! Si anapiga kelele yupo tayari any time!

Wilder ana maneno mengi kama kazaliwa Tandale bana ...
mswahili yule,mudomo murefu kama mkwere
 
Ina maana hapa Tz mabondia wetu hawana uwezo wa kupigana na hao kina Joshua? Au tatizo nini?
 
Ina maana hapa Tz mabondia wetu hawana uwezo wa kupigana na hao kina Joshua? Au tatizo nini?
 
Back
Top Bottom