Anthony Joshua vs Francis Ngannou.....

Tyson Fury n Eddie Hearns in the building [emoji16]
 
Tumemaliza kazi[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Asante Joshua kwa kuiheshimisha boxing, mwana alibonga sana
 
Ngannou alipaswa kupata mapambano at least matano kwanza kabla ya kurukia kupigana na Tyson Fury na Anthony Joshua.

Haiwezekani kabisa Anthony Joshua kwenda kwenye MMA na pigano lake la pili apigane na Francis Ngannou.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Props to Anthony Joshua for getting the job done. Respect Ngannou amehandle kila kitu kama mwanaume.

Ngannou aliihitaji kupata hii loss tumfahamu yeye ni nani hasa. Congrats amehandle post fight vizuri na anaonekana yupo sawa.

Muda sasa wakupumzika na kustrategize nini atafanya miezi michache inayokuja.

Sina mashaka atakuwa sawa na ataendelea na boxing japo umri unasogea 37 sasa.

Yote kwa yote ameondoka na pesa nzuri 20m+ it's a lot of money.

Nikirudi kwa Anthony Joshua, huyu jamaa namkubali awe amepoteza pambano au ameshinda.

Ana utu sana. Huwezi ondoa hiyo from Anthony.

Don't let a win go to your head or loss go to your heart.

Usyk vs Fury lini?
 
Weka dau….

Mi nasema AJ by KO.
Ulikuwa sahihi.
Haya Tabiri, tena kati ya Iron Mike Tyson na huyu Cool Kid Paul Jake .

Tyson atakula cash auze pambano? Au Kid ataongezeka ktk list ya mchwa walio wahi kuangusha mbuyu.

But just Wish the Iron ,60 Y.O apige hiki kitoto
 
Ngannou alipaswa kupata mapambano at least matano kwanza kabla ya kurukia kupigana na Tyson Fury na Anthony Joshua.

Haiwezekani kabisa Anthony Joshua kwenda kwenye MMA na pigano lake la pili apigane na Francis Ngannou.
Nakubaliana na wewe.

Kimsingi ilipaswa iwe hivyo ili tufahamu je kweli Ngonnou anastahili kupata hype aliyopata kwa pambano moja tu kwenye boxing.

Hatahivyo, boxing inaangalia pesa na ilikuwa wazi mashabiki walitaka waone tu je MMA figher heavy weight champion of the world ataweza fanya kitu kwenye boxing?

Kulikuwa na msisimko fulani kila mtu anataka Fury/Ngannou.

Lakini ukiangalia vizuri Fury/Ngannou ilikuwa all about money na si kingine zaidi ya hapo.

Furry ni heavyweight champion of the world. Alitakiwa Fury/Usyk.

Yote kwa yote, pambano zuri.

Kila kitu kipo wazi sasa.
 
AJ is good man. Fit and tough. Alishangaza dunia alivyo kalishwa na Andy Ruiz . Dude alikuwa anatawala pambano.
But Resilience ya kibonge mwepesi ili mdhidi.
 
Ulikuwa sahihi.
Haya Tabiri, tena kati ya Iron Mike Tyson na huyu Cool Kid Paul Jake .

Tyson atakula cash auze pambano? Au Kid ataongezeka ktk list ya mchwa walio wahi kuangusha mbuyu.

But just Wish the Iron ,60 Y.O apige hiki kitoto
Mimi sitaiangalia hiyo ya Tyson vs Paul.

Tyson na uzee wote huo has no business getting in the ring with anybody.

I hope the Texas Athletic Commission won’t give him the license to fight.
 
Dudubaya kapigwa. Ila alikuwa anawaza hela tu
 
Vipi, unadhani Joshua akienda kwenye MMA halafu amchallenge Jon Jones au Tom Aspinall, matokeo yatakuwaje? 😀

Halafu sidhani kama Tyson Fury alimchukulia serious Francis Ngannou na ndo maana mpambano ulikuwa vile ulivyokuwa.

Ikitokea kukawa na rematch kati ya Fury na Ngannou, ni raundi moja tu Ngannou chali.

Joshua alimchukulia serious Ngannou baada ya kuona kilichomtokea Fury.

Pia, kwa Joshua hakukuwa tena na ile element of surprise kama ilivyokuwa kwa Fury.

Fury hakujua ategemee nini toka kwa Ngannou. Lakini Joshua tayari alikuwa walau na something to go by i.e. Fury vs Ngannou.

Bottom line, he [Ngannou] secured the bag 💰.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…