Anthony Lusekelo: Hamna msemaji aliyefikia kiwango cha Haji Manara

Anthony Lusekelo: Hamna msemaji aliyefikia kiwango cha Haji Manara

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Mtumishi wa Mungu Anthony Lusekero (Mzee wa Upako) amefunguka jana Septemba 4, 2024 kupitia Global TV na kueleza kuwa mpaka sasa hakuna Msemaji aliyefikia kiwango cha Haji Manara.

 
Hii ni kweli kabisa na kwa bahati mbaya nguvu kubwa sana imetumika na inaendelea kutumika kumpoteza jamaa
 
Alienda kwa kiboko ya wachawi na kueaambia watu Mungu amemwonyesha huyo nabii ni WA kweli. Stupid
 

Mtumishi wa Mungu Anthony Lusekero (Mzee wa Upako) amefunguka jana Septemba 4, 2024 kupitia Global TV na kueleza kuwa mpaka sasa hakuna Msemaji aliyefikia kiwango cha Haji Manara
mpuuzeni huyo mwehu
ana comment hata vitu ambavyo haviamini. aliwahi kusema kwamba kanisa la kweli ni la wasabato, mbona yeye hasali huko
 
Mtumishi wa Mungu Anthony Lusekero (Mzee wa Upako) amefunguka jana Septemba 4, 2024 kupitia Global TV na kueleza kuwa mpaka sasa hakuna Msemaji aliyefikia kiwango cha Haji Manara.


80% ya watanzania hawawapendi wenye vipaji vyao.

Huu ni ukweli mchungu na hata huko kwenye vyama vya siasa.
 
Hii ni kweli kabisa na kwa bahati mbaya nguvu kubwa sana imetumika na inaendelea kutumika kumpoteza jamaa
Manara ni mropokaji sio msemaji, alihamisha mpira kutoka kwenye mchezo wa burudani, ushikamano na uungwana kwenda kwenye mchezo wa uadui na vita. Angalia kwasasa hali ilivyotulia, Ibwe, Kamwe na Ahmed Ally wameufanya usemaji sio vita bali ni sehemu ya utani na burudani. Wanakaa meza moja wanafanya kazi moja huku wakitupiana vikombola vya hapa na pale kama sehemu ya utani.

Manara anachoweza ni kuwakosanisha watu tu na kuwagawa watu, kwa kuropoka bila kujua athari ya kile anachoropoka.
 
Manara ni mropokaji sio msemaji, alihamisha mpira kutoka kwenye mchezo wa burudani, ushikamano na uungwana kwenda kwenye mchezo wa uadui na vita. Angalia kwasasa hali ilivyotulia, Ibwe, Kamwe na Ahmed Ally wameufanya usemaji sio vita bali ni sehemu ya utani na burudani. Wanakaa meza moja wanafanya kazi moja huku wakitupiana vikombola vya hapa na pale kama sehemu ya utani.

Manara anachoweza ni kuwakosanisha watu tu na kuwagawa watu, kwa kuropoka bila kujua athari ya kile anachoropoka.
Manara na Jerry Muro walikuwa wanataniana kama kawaida
 
Manara na Jerry Muro walikuwa wanataniana kama kawaida
Ishu ni kufanya kazi ki professional jambo ambalo Manara kwake linaonekana wazi kulishindwa.
Mapungufu yake binafsi au matatizo yake binafsi anapenda kuhusisha na taasisi ya Yanga. Mfano ishu yake vs Karia.
Mambo ya uswahili, yeye anajiona mjanja wa mjini wakati age imeenda jambo linalomfanya kutokuwa na hekima na busara, lile tukio la utambulisho wa wachezaji yeye kukazania Mobeto aje uwanjani ndipo niligundua huyu ni mtu mzima lakini ni wa ovyo.
Kujiona yeye ndio mkubwa na kila kitu, watu walimkatisha kwa kulazimisha Pacome aje mbele aje mbele kwa upotevu wa muda ila jamaa akatamka kuwa hatoki mpaka Pacome aje. Kuna mambo ya kiitifaki ila yeye kwake hilo halipo.

Yanga imekuwa na urafiki na Kaizer Chiefs ila mropokaji baada ya mechi Yanga kushinda goli nne akaropoka maneno ya kuwaudhi mashabiki wa Kaizer Chiefs.

IMG_20240905_143001.jpg
 
Ishu ni kufanya kazi ki professional jambo ambalo Manara kwake linaonekana wazi kulishindwa.
Mapungufu yake binafsi au matatizo yake binafsi anapenda kuhusisha na taasisi ya Yanga. Mfano ishu yake vs Karia.
Mambo ya uswahili, yeye anajiona mjanja wa mjini wakati age imeenda jambo linalomfanya kutokuwa na hekima na busara, lile tukio la utambulisho wa wachezaji yeye kukazania Mobeto aje uwanjani ndipo niligundua huyu ni mtu mzima lakini ni wa ovyo.
Kujiona yeye ndio mkubwa na kila kitu, watu walimkatisha kwa kulazimisha Pacome aje mbele aje mbele kwa upotevu wa muda ila jamaa akatamka kuwa hatoki mpaka Pacome aje. Kuna mambo ya kiitifaki ila yeye kwake hilo halipo.

Yanga imekuwa na urafiki na Kaizer Chiefs ila mropokaji baada ya mechi Yanga kushinda goli nne akaropoka maneno ya kuwaudhi mashabiki wa Kaizer Chiefs.

View attachment 3087791
Haya mapungufu huwa yapo "once you dig dirty you will always come out with dirty "
Ukiamua kuangalia upande mzuri wa Manara nao utaona hata kina kamwe na na wengine wamekuwa wakikosea sana ila sababu wanapimwa na Manara ndio wanaonekana hawana shida
Anyway pamoja na mapungufu hayo ila nakubaliana na lusekelo
 
Hii ni kweli kabisa na kwa bahati mbaya nguvu kubwa sana imetumika na inaendelea kutumika kumpoteza jamaa
Nguvu gani imetumika kumpoteza Manara na nani anataka kumpoteza? Manara ni tabia zake imefika hatua system imemkataa yenyewe, Umma ndo umemkataa katika usemaji wa vilabu.

Alivyorudi baada ya kufungiwa alifanya press na kujigamba amerudi kwenye kiti chake Ally Kamwe akajiuzulu siku chache mbele lakini mashabiki wa yanga hawakuridhika walitaka Ally kamwe aendelee na uongozi ukamrudisha watu wa Yanga wangekua wanamtaka Manara wasingelalamika hadi Kamwe akarudishwa kazini.

Tatizo la manara ni tabia ya kujiona bora kuliko mtu yoyote na ni mtu ambae ana chuki za wazi wazi leo ni rafiki yako ila kesho ukipishana nae kauli jiandae kutukanwa na mambo yako kuwekwa hadharani kitu ambacho kuna muda ukifika watu wakikugundua watakuepuka
 
Haya mapungufu huwa yapo "once you dig dirty you will always come out with dirty "
Ukiamua kuangalia upande mzuri wa Manara nao utaona hata kina kamwe na na wengine wamekuwa wakikosea sana ila sababu wanapimwa na Manara ndio wanaonekana hawana shida
Anyway pamoja na mapungufu hayo ila nakubaliana na lusekelo
Labda kama kwenye uhamasishaji lakini sio kwenye usemaji
 
Mzee wa mipira iliyokufa, kila anachokiunga mkono kinatota kabisa huyu mzee ana gundu huyu
 
Nguvu gani imetumika kumpoteza Manara na nani anataka kumpoteza? Manara ni tabia zake imefika hatua system imemkataa yenyewe, Umma ndo umemkataa katika usemaji wa vilabu.

Alivyorudi baada ya kufungiwa alifanya press na kujigamba amerudi kwenye kiti chake Ally Kamwe akajiuzulu siku chache mbele lakini mashabiki wa yanga hawakuridhika walitaka Ally kamwe aendelee na uongozi ukamrudisha watu wa Yanga wangekua wanamtaka Manara wasingelalamika hadi Kamwe akarudishwa kazini.

Tatizo la manara ni tabia ya kujiona bora kuliko mtu yoyote na ni mtu ambae ana chuki za wazi wazi leo ni rafiki yako ila kesho ukipishana nae kauli jiandae kutukanwa na mambo yako kuwekwa hadharani kitu ambacho kuna muda ukifika watu wakikugundua watakuepuka
Caria na magenge ya kina hers ndio yamemuondoa ila alijitahidi kwenye kazi yake
 
Caria na magenge ya kina hers ndio yamemuondoa ila alijitahidi kwenye kazi yake
Mzee utaki kukubali kuwa mashabiki wa Yanga ndio waliokuwa wanamkataa Manara. Humu JF tu kuna nyuzi kibao na comment kibao tu za wadau wakionesha hawataki kurejea kwa Manara ndani ya Yanga. Upepo wake umeshakata hana mvuto tena kwa watu
 
Toka tapeli Kiboko ya wachawi aanze kukili kua Tapeli,Hawa watumisheee nawachukulia powaaa sana.
 
Back
Top Bottom