Mjomba side
Member
- May 3, 2024
- 72
- 96
Msikilize vizuri, irudierudie clip utagundua kituKwani kakosea nini?
Lipo tatizo kubwa Sana kwa Watawala wa Afrika, hawautaki kabisa kusikia mawazo mbadala na matokeo yake wamezigeuza nchi hizi za ki-Afrika kuwa siyo mahali salama na Wala siyo mahali pazuri pa kuishi hapa duniani.Kifupi wanaopotezwa hawana madhara yeyote kwa Taifa, tunatumia nguvu kuubwa Kwa issue ndogo ndogo sana ambazo kudeal nazo unahitaji akili tu.
Hii tabia tukiizoe sana itakwenda mbali sana na kuleta madhara makubwa sana ambayo kuyaondoa itakuwa gharama kubwa sana.
Wahusika wa utekaji wanapaswa kujua wao ndio wanakwenda kuwa hatari kwenye usalama wa nchi, maana kupitia tabia hii tunaweza kuzusha mengine makubwa yanayoweza kuleta madhara makubwa sana.
Kuna siku watekwaji nao watachoka na kuamua kujilinda either kwa kuwalinda targets, au na wao kulipa kisasi.
hata hajui uchungu walio nao wale waliopotelewa na ndugu zao. hajui hasira watakazokuwa nazo dhidi yake.
Ni kweli angelijua Hilo asingethubutu kamwehata hajui uchungu walio nao wale waliopotelewa na ndugu zao. hajui hasira watakazokuwa nazo dhidi yake.
Ni kweli ataliharibia mpaka kabisa lakeKukaa kimya ni busara pia
Labda hujaijua nguvu iliyojificha ya MZEE WA UPAKO.Akikaa vibaya kanisa lake litafungwa
Wa kawaida sana, alikuwepo zachari kakobe, alikuwa alienda congo nchi nzima wanasimamisha kazi Ili kumfuatilia ije kwa huyu mnyaluLabda hujaijua nguvu iliyojificha ya MZEE WA UPAKO.
huyu sio mwenzetu
Unamlinganisha Kakobe na Lusekelo?Wa kawaida sana, alikuwepo zachari kakobe, alikuwa alienda congo nchi nzima wanasimamisha kazi Ili kumfuatilia ije kwa huyu mnyalu
Mimi nimezaliwa hapa na kukulia hapa, mpaka Sasa ni Mzee namfahamu vizuri kijana wanguUnamlinganisha Kakobe na Lusekelo?
Ukiuzoe mji utanielewa.
Unaweza kuwa na umri mkubwa lakini bado hujakua.Mimi nimezaliwa hapa na kukulia hapa, mpaka Sasa ni Mzee namfahamu vizuri kijana wangu
Kazi ipo nje ya kuhubiri?Unaweza kuwa na umri mkubwa lakini bado hujakua.
Huenda unamfahamu Lusekelo lkn huifahamu kazi yake...
nje na imani yake
Tuone kama kuna mtu atamgusa baada ya kauli zake ndio utajua huyu sio tu mhubiriKazi ipo nje ya kuhubiri?