Anthony Matogoro mchezaji mzuri ambae hajapita simba na Yanga

Anthony Matogoro mchezaji mzuri ambae hajapita simba na Yanga

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,695
Reaction score
20,633
Habarini za jioni wakubwa?

Leo katika jukwaa la michezo nmependa kuchangamsha kwa style hii


nmeleta uzi kumuhusu huyu fundi wa mpira aliyecheza mwadui na team zingne za daraja la kati.

kwakweli ukimuangalia Antony anacheza mpira utaona mpira ni rahisi sana ni mchezaji mrefu sana mwembamba mara ya kwanza namuona kabla hajagusa mpira nilimdharau lakini alipogusa nilishawishika kumtazama ana miguu mwembamba sana ila ananguvu za miguu sana .

Hakina huyu mtu alifaa apite simba na yanga lakini nashangaa kumuoma GWAMBINA FC tena akichezeshwa beki namba 5 kiufupi ni kiungo mzuri sana na anauwezo wa hali ya juu mno


binafsi namuelewa sana ni uyo anaekaba mpira kashikilia jezi nyekundu
gwambinafc_official_2___CBkvxL3gvtx___.jpeg
 
Kwahiyo unamaanisha huyo mchezaji ilibidi apite Simba na yanga kwanza ndio aende Gwambina ama.
 
Mbona mafundi wa soka ni wengi sana,ila wenye bahati ya kucheza izo Simba na utopolo fc ni wachache.
Lkn kumbuka Simba na utopolo fc kuna ukwasi wa kufubaza vipaji.
 
Back
Top Bottom