Ushauri wangu kwa raisi ni "unahitaji mtu kama Mtaka kuongoza tume ya mipango ndipo uongozi wako utaleta mabadiriko chanya katika jamii"
Shida kubwa ya wataalamu wengi hukimbilia kwenye formula, kanuni n.k lakini hawajui wanatakiwa kuanzia wapi na kuishia wapi.
na kuna watu wako na very good brain, wanajua pa kuanzia na kuishia. yeye akitazama kitu anajua hapa tuko hapa, tukipita pale kesho tumefika kule lakini hawajui kanuni za kitaalamu za kuwafikisha huko. wao ni wachora ramani.
Hii ndiyo brain ya Mtaka, (mkuu wa mkoa wa njembe kwa sasa)
ukitaka kupanga mipango ya maendeleo kwa kutumia wataalamu unashangaa wanatumia formula, kanuni lakini miaka nenda rudi mabadiriko katika jamii hakuna. Labda ukutane na mtaalamu ambaye ana brain kama ya Mtaka alafu akasomea jambo ndiye unakuta anaweza kubuni na kutumia kanuni pia.
Unaweza kutazama ripoti za tume ya taifa ya mipango hata kueleweka hazieleweki, hakuna mpango wowote zaidi ya kutaja vitu obvious ambavyo kila mtu anaweza kutaja.
Lakini ukimsikiliza Mtaka mfano juzi anaongelea kilimo cha ngano njombe mpaka kila mtu anaona yes, mpango wake ni workable, ni mkombozi mkubwa kwa mkoa wa njombe na fursa kwa kila mdau kuanzia vijana, wakulima, wenye mitaji, mabenki, halmashauri, wafanyabiashara wakubwa .
Hivi kwenye planning tunahitaji nini?
Au zile porojo tu za kusema kufikia mwaka 2030 tanzania itafikia uchumi wa kati wa kati bila road map yoyote ya maana ya tunafikaje huko?
Mtaka ana uwezo wa kupima mipango ya wizara yoyote, ana uwezo wa kushauri wizara yoyote, kinachohitajika ni kumpa wataalamu na power ya kusimamia planning, atatufikisha mbali
Shida kubwa ya wataalamu wengi hukimbilia kwenye formula, kanuni n.k lakini hawajui wanatakiwa kuanzia wapi na kuishia wapi.
na kuna watu wako na very good brain, wanajua pa kuanzia na kuishia. yeye akitazama kitu anajua hapa tuko hapa, tukipita pale kesho tumefika kule lakini hawajui kanuni za kitaalamu za kuwafikisha huko. wao ni wachora ramani.
Hii ndiyo brain ya Mtaka, (mkuu wa mkoa wa njembe kwa sasa)
ukitaka kupanga mipango ya maendeleo kwa kutumia wataalamu unashangaa wanatumia formula, kanuni lakini miaka nenda rudi mabadiriko katika jamii hakuna. Labda ukutane na mtaalamu ambaye ana brain kama ya Mtaka alafu akasomea jambo ndiye unakuta anaweza kubuni na kutumia kanuni pia.
Unaweza kutazama ripoti za tume ya taifa ya mipango hata kueleweka hazieleweki, hakuna mpango wowote zaidi ya kutaja vitu obvious ambavyo kila mtu anaweza kutaja.
Lakini ukimsikiliza Mtaka mfano juzi anaongelea kilimo cha ngano njombe mpaka kila mtu anaona yes, mpango wake ni workable, ni mkombozi mkubwa kwa mkoa wa njombe na fursa kwa kila mdau kuanzia vijana, wakulima, wenye mitaji, mabenki, halmashauri, wafanyabiashara wakubwa .
Hivi kwenye planning tunahitaji nini?
Au zile porojo tu za kusema kufikia mwaka 2030 tanzania itafikia uchumi wa kati wa kati bila road map yoyote ya maana ya tunafikaje huko?
Mtaka ana uwezo wa kupima mipango ya wizara yoyote, ana uwezo wa kushauri wizara yoyote, kinachohitajika ni kumpa wataalamu na power ya kusimamia planning, atatufikisha mbali