Ukimfuatilia Mtaka utagundua ni aina ya wale watu wanaotafuta UMAARUFU kwa kutoa maneno yanayowafurahisha watu na kutafuta mifano mingi na kuizungumza kwenye jamii/ mikutano.
Na mwisho wanajizolea umaarufu kuwa ni viongozi mahiri sana. Ukija kwenye matokeo ya nafasi za uongozi unakuta hakuna alichokifanya.
MTAKA AMEPATA UMAARUFU LAKINI UKIAMBIWA NI KIPI KIKUBWA ALICHOKIFANYA NI HAKUNA.
NI KAMA CRIS MAUKI TU ALIVYO MAARUFU KWA KUWAFURAHISHA KINA MAMA ila la maana hakuna
Na mwisho wanajizolea umaarufu kuwa ni viongozi mahiri sana. Ukija kwenye matokeo ya nafasi za uongozi unakuta hakuna alichokifanya.
MTAKA AMEPATA UMAARUFU LAKINI UKIAMBIWA NI KIPI KIKUBWA ALICHOKIFANYA NI HAKUNA.
NI KAMA CRIS MAUKI TU ALIVYO MAARUFU KWA KUWAFURAHISHA KINA MAMA ila la maana hakuna