Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501

Bibie Abti Ezekiel akiwa na wapambe wake na nguo maalum za kukatia mauno kwenye Ngoma ya Kibao kata

Mauno yakizungushwa kabla ya kuchanganya

Mauno yalipomkolea akalala chini na kuzungusha nyonga kisawasawa, Wema Sepetu akimtunza Anti Ezekiel.

Wema Sepetu hakucheza mbali.
Hii ni siku ya Kibao Kata, baada ya hapo ni Kitchen Party then Send Off halafu Bonge la Party Dubai. Ndoa imeshakamilika haya ni makandokando tu amaeamua kufanya kinyumenyume.