Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Cjawai ona Inafungwa Ndoa,and then sendoff inafuatiwa na Kitchen party!
Uelewa,ulimbukeni na Mashauzi ya kijima waliyonayo wengi walioingia Jiji la makamba Wakiwa WATU WAZIMA ni matatizo tu!Amepiga picha za Harusi Mwowaji aonekani!yaani ni mauzauza tu ana jipya,angeweza hesabu wanaume aliolala nao,angejaza Fuso ata tatu!,fainal uzeeni
Mkuu, huyu ni mtoto wa Ezekiel Greyson "Jujumen" aliyewahi kukipiga Simba enzi zileeee, amezaliwa hapahapa mjini
LAKINI
Alipokuwa Makongo Sec usiku alikuwa anakwenda Ohio kufanya Biashara, hope wajua biashara gani ilikuwa inafanyika pale, akaacha shule na akahama hadi home kwao. Ilipokuja hii chama ya Digital prostitution akajiunga na ndio anaendelea hadi sasa.
Ndio maisha haya so haoni tabu kujawa na vioja. wanaojua historia yake huyu wala hawawezi kushangazwa.
usoni kavaa kama 'haloween party'!!!!
Aliyooa anti ezkiel amepata mke bora atafanikiwa pamoja naye sanaaa!
Juz kati mliweka uzi kuwa kaolewa.....,leo mwasema anafanya send off,.....Vipiiiiiiii?