Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
inabidi tumuulize PDIDY! Lakini takuwa maeneo ya SINZA Hayo
:becky::becky::becky::becky::becky:WIVU? kwa huyu? una utani wewe!
Njiwa, what????? Umuulize PDIDY? Huyu baba siyo marehemu jamani? si ndiye alikuwa wa Maimatha halafu tukaelezwa kafa, mimi sitaki ushahidi, simo1
Acheni kuchafua wenzenu.Kumbukeni huyu ni msanii wa filamu na itakuwa ni moja ya scenes za uigizaji....katoka kulambwa huyu ana maanaaaa basii
anyway tusije waletea picha za babazenu mkaahama na jf milele msifike tena na huyo binti
anyway mume mwema uppewa na bwana tumsubiri huyo alieshushwa na bwana kwa ajili yake
nitaku-pm khs mchango wa harusi mkuu..
guest ipi jamn namnani au??:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
aminia; sasa naamini kweli kwani lengo lako lilianza kwenye post ya januari 3, 2010 kwenye celebrity forum uliposema:
"jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu aunt ezekiel."
Mh dada maria roza inaelekea ulikuwa mbaya wa guest house!!!!! teh tehGuest ipi jamn Namnani au??:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
May be huyu jamaa atamuoa naona anasave namba kabisa.......
wakuu, kuna uvumi kwamba anti ezekiel ataolewa hivi karibuni!!!
Ni vema ikajulikana ni nani atakayefaidiana unyumba na celebrity huyu maisha yao yooooote!!!
mkuu yeyote atakayekuwa na habari za uhakika atujuze kwasababu kuu mbili...
1. Ili tujiandae kuwatakia maisha mema katka ndoa yao!!!
2. Wenye wivu wajinyonge!!!