Anton Mtweve ni nani huko TAMISEMI?

Anton Mtweve ni nani huko TAMISEMI?

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Tangu Serikali kupitia ofisi ya Rais-TAMISEMI itangaze kutoa kipaumbele kwa walimu wanaojitolea na kuwataka wakuu wa mikoa na maafisa elimu kutuma taarifa za walimu hao ofisi ya Rais Tamisemi, kuna template ya excel inazunguka mitandaoni ambapo waombaji wanajaza taarifa zao na kuzituma kwenye barua pepe yenye majina "Anton Mtweve " ambayo imeunganishwa na domain ya tamisemi.go.tz

Swali langu: Anton Mtweve ni nani huko TAMISEMI? Kama ni mtumishi wa wizara hiyo, je wizara haioni kwamba kuendelea kupokea taarifa za walimu wanaojitolea kwa lengo la kuwapatia kipaumbele cha ajira ni kupoteza muda na sio haki kwa sababu tayari zoezi hilo limegubikwa na udanganyifu mkubwa?
 
Tangu serikali kupitia ofisi ya Rais-TAMISEMI itangaze kutoa kipaumbele kwa walimu wanaojitolea na kuwataka wakuu wa mikoa na maafisa elimu kutuma taarifa za walimu hao ofisi ya Rais tamisemi, kuna template ya excel inazunguka mitandaoni ambapo waombaji wanajaza taarifa zao na kuzituma kwenye barua pepe yenye majina "anton mtweve " ambayo imeunganishwa na domain ya tamisemi.go.tz

Swali langu: anton mtweve ni nani huko tamisemi? Kama ni mtumishi wa wizara hiyo, je wizara haioni kwamba kuendelea kupokea taarifa za walimu wanaojitolea kwa lengo la kuwapatia kipaumbele cha ajira ni kupoteza muda na sio haki kwa sababu tayari zoezi hilo limegubikwa na udanganyifu mkubwa?
Kama vipi ungeweka na screenshot ili tuweze kumjadili vizuri huyo Anton Mtweve! Asije akawa ni tapeli.

Binafsi ni mmoja kati ya wale wadau wanao tamani sana kuona hawa walimu wote wanao jitolea maeneo mbalimbali nchini, wakipewa kipaumbele cha kuajiriwa! Maana wengi ni watoto wa Watanzania maskini na wake wanao tokea katika mazingira magumu.

Kwa mtu anayetokea familia inayo jimudu, hawezi kufanya hii kazi ya ualimu kwa kujitolea au kwa malipo kiduchu ya laki 1 na nusu kwa mwezi.
 
Screenshot_20210424-094326~2.png

Excel yenyewe ni hii
 
Kama vipi ungeweka na screenshot ili tuweze kumjadili vizuri huyo Anton Mtweve! Asije akawa ni tapeli.

Binafsi ni mmoja kati ya wale wadau wanao tamani sana kuona hawa walimu wote wanao jitolea maeneo mbalimbali nchini, wakipewa kipaumbele cha kuajiriwa! Maana wengi ni watoto wa Watanzania maskini na wake wanao tokea katika mazingira magumu.

Kwa mtu anayetokea familia inayo jimudu, hawezi kufanya hii kazi ya ualimu kwa kujitolea au kwa malipo kiduchu ya laki 1 na nusu kwa mwezi.
Nimeweka comment#3
 
Tafuta Connection Mkuu... Kelele hazisaidii..
Kuna zaidi ya Walimu 40,000/= mtaani.. Wenye sifa. Wanahitajika 6000/=..

Hata mitume enzi za manabii wasingeweza kuwa fair.
 
Kazi sana ...vipi kutoka zbar au wao wataajiriwa kule pande ya pili ?
 
Mkuu huyo jamaa atakuwa coordinator wa zoezi la kupokea hao Waalimu.

Tangu 2017 Serikali kupitia eGa ilitaka kila taasisi zilizo chini yake kuanza kutumia domain za Serikali, kwahiyo hata wewe ungesajiriwa labda msovero.kilosa@tamisemi.go.tz

Kwahiyo jina halina shida
 
Waalimu bwana yaani wanavyopambana na Tamisemi[emoji23][emoji23][emoji23]. Wakiingia tu wanaanza kuchakachua uchaguzi sahivi na sisi tunawaangalia tu. Mambo ya ualimu una market kikowapi?
 
Tafuta Connection Mkuu... Kelele hazisaidii..
Kuna zaidi ya Walimu 40,000/= mtaani.. Wenye sifa. Wanahitajika 6000/=..

Hata mitume enzi za manabii wasingeweza kuwa fair.

😂 😂 😂
 
serikali ni ya kufanya vitu kienyeji hivi?
Tamisemi inaweza. Mfano fuatilia utendaji wao utajifunza kitu na utagundua kuwa hata maafisaelimu wa halmashauri nyingi nchini wamechagiliwa kwa kupitia rushwa Mfano iliyo sahihi ni afisaelimu , sekondari meru, afisaelimu msingi Geita TC, afisaelimu msingi moshi manispaa, afisaelimu sekondari tarime. Pia hawana uzoefu wa ujuzi uliowafanya kupewa nafasi kama hizo. KM tamisemi fuatilia hili
 
Tafuta Connection Mkuu... Kelele hazisaidii..
Kuna zaidi ya Walimu 40,000/= mtaani.. Wenye sifa. Wanahitajika 6000/=..

Hata mitume enzi za manabii wasingeweza kuwa fair.
Ushauri murua kabisa[emoji28][emoji106]

Uyu JAMAA asitochoshe
 
Swali langu: Anton Mtweve ni nani huko TAMISEMI? Kama ni mtumishi wa wizara hiyo, je wizara haioni kwamba kuendelea kupokea taarifa za walimu wanaojitolea kwa lengo la kuwapatia kipaumbele cha ajira ni kupoteza muda na sio haki kwa sababu tayari zoezi hilo limegubikwa na udanganyifu mkubwa?
Na je TAMISEMI ingewagharimu nini kama wangeweka mfumo wa majina hayo kujazwa moja kwa moja badala ya kutembeza spreadsheet?
 
Back
Top Bottom