Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema sio sahihi suala la chanjo dhidi ya Ugonjwa wa #COVID19 kuchukuliwa kitaifa
Katika ujumbe wake amesema, hakuna nchi itakayokuwa salama dhidi ya #CoronaVirus hadi nchi zote zitakapokuwa salama
Kauli yake inakuja baada ya nchi kadhaa zikiwemo Marekani, Uingereza na Urusi kuidhinisha chanjo za Pfizer/BioNTech, Moderna na Sputnik V ili kupambana na mlipuko huo
Katika ujumbe wake amesema, hakuna nchi itakayokuwa salama dhidi ya #CoronaVirus hadi nchi zote zitakapokuwa salama
Kauli yake inakuja baada ya nchi kadhaa zikiwemo Marekani, Uingereza na Urusi kuidhinisha chanjo za Pfizer/BioNTech, Moderna na Sputnik V ili kupambana na mlipuko huo