Ujumbe nimeuelewa, ila inabidi nikukosoe kwa sababu wewe si mtu wa kukosa umakini unapokuwa unaleta habari.
Maelezo yanataja mkurugenzi wa WHO, lakini kwenye picha kama reference maelezo ni ya Antonio Guterres ambaye ni katibu mkuu wa umoja wa mataifa. Kwa asiyefaham, atajua mkurugenzi wa WHO ni Antonio.