DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
mpunga mrefu,si uutaje au?Mimi najua Millard Ayo, Bdozen,Masoud kipanya,Gadna na Adam Mchomvu ndo wanao lipwa mpunga mlefu pale CMG.
Nugaz ni tantalila wa yanga.Umemsikiliza wapi? Na huyo Antonio ndio Nani? Weka picha yake
Sio clouds ni media yoyote ile.mfumo wa clauds unalipwa kutokana na unavyoingiza...
inawezekana kwa sasa yeye ndie anaingiza sana
Mswahili mwenye misemo yakeUmemsikiliza wapi? Na huyo Antonio ndio Nani? Weka picha yake
Mxomvu anakula m3 net per moth.mkuuUsikute anasema analipwa pesa ndefu kumbe laki 8 kwa mwezi.
hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.