LuicHii tabia ya Yanga kukata upepo kipindi cha pili itawagharimu sana wakikutana na Simba,maana wale wanyama kadri muda unavyozidi ndo wanazidi kukimbiza
Mbuzi?..🙄🙄🙄Kushauriwa ni kitu kimoja. Kufanyia kazi ushauri ni kitu kingine.
Kuchuja ushauri na kugundua pumba ziko wapi ni akili ya mtu binafsi.
Unaweza kushauriwa na mbuzi ukapata la maana. Ukashauriwa na Mfalme ikaws pumba.
Yes, mbuzi. Huyo huyo mee mee 😁😁🤔Mbuzi?..🙄🙄🙄
Mkuu, kwani wewe huwezi kushauriwa na mwanamke kwa jambo lolote ?
Kupata kichekesho hiki bonyeza 04012020. 🤣🤣🤣🤣Hii tabia ya Yanga kukata upepo kipindi cha pili itawagharimu sana wakikutana na Simba,maana wale wanyama kadri muda unavyozidi ndo wanazidi kukimbiza
Mmmh!! 🤔🤔
Mtani
Kama ushauri wake una quality bora zaidi ya quality ya mawazo yangu then kuna mahali im getting things wrong!
Yaani Mtani nimekereka sana hapa. Ukisikia upotoro ndio ule sasa. 😔😔😔Tupe salamu za Tanga, sare tena?
Yaani Mtani nimekereka sana hapa. Ukisikia upotoro ndio ule sasa. 😔😔😔
Washambuliaji hatuna na pia nadhani kuna kitu humo ndani ila si wa nje hatufahamu kwani ule uchezaji wa mechi kadhaa pale katikati si huu wa sasa.Poleni mtani, sasa shida ni nini kwa mtazamo wako?
Washambuliaji hatuna na pia nadhani kuna kitu humo ndani ila si wa nje hatufahamu kwani ule uchezaji wa mechi kadhaa pale katikati si huu wa sasa.
Washambuliaji hatuna na pia nadhani kuna kitu humo ndani ila si wa nje hatufahamu kwani ule uchezaji wa mechi kadhaa pale katikati si huu wa sasa.
Hakika usemalo Mkuu tungefungwa mechi zote hizo dawa ingepatikana na ndio sababu tulivyofungwa na Kagera kisha Azam baadae timu ilibadilika ikawa inacheza soka safi kabisa.Hapa lazima wazee wa Kamati ya ufundi wachungulie kwa uzuri, haiwezekani Utopolo watoe sare mfululizo,bora wangefungwa ingeleta mabadiliko kidogo.Utakuwa kuna mahali Haji Manara kawaendea pale Unguja, yaani Yanga iwe kituko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh!! Kwa hilo sidhani sababu mwanzo alipokuja Luc tulivurunda kama mechi kadhaa kocha alipokuwa mpya mpya na baadae kidogo tulipata matokeo na timu ilikuwa inacheza vizuri tu mbona.Hapo unakubaliana na dhana ya kwamba inawezekana kocha anahujumiwa?
Kwamba kuna watu wanaitaka hiyo nafasi.
Mmh! Kwa hilo sidhani sababu mwanzo alipokuja Luc tulivurunda kama mechi kadhaa kocha alipokuwa mpya mpya na baadae kidogo tulipata matokeo na timu ilikuwa inacheza vizuri tu mbona.
Siamini kama ni hujma kwa Kocha Mtani.
Yabidi Mtani. Ila naamini ni mambo ya kupita tu haya na hasira zetu tutazimaliza tarehe 08.Basi ndo ile nyota tuliyousema siku zile.
Huyu damu yake na yenu vimekataana, tafuteni suluhu mpya.