Antonio Nugaz na ushauri toka kwa wake zake

Yabidi Mtani. Ila naamini ni mambo ya kupita tu haya na hasira zetu tutazimaliza tarehe 08.

Wape Salaam in Nugas voice. 😉

Hapo kuna mawili:

1. Hasira zenu mzimalize kwa kumfunga Mnyama: Uwezekano wa kutokea ni 2.76%
2. Hasira zenu mzimalize kwa kumfukuzia mbali kocha wenu baada ya kufungwa na Mnyama: Uwezekano wa kutokea ni 97.24%
 
Hapo kuna mawili:
1. Hasira zenu mzimalize kwa kumfunga Mnyama: Uwezekano wa kutokea ni 2.76%
2. Hasira zenu mzimalize kwa kumfukuzia mbali kocha wenu baada ya kufungwa na Mnyama: Uwezekano wa kutokea ni 97.24%
Hamna mtani sisi hatuna mihemko kama yenu kocha hawezi fukuzwa kirahisi namna hiyo. Naungana na Shadeeya timu ilikuwa inacheza poa sana sijui nini kimetokea kwa kweli.
 
Hamna mtani sisi hatuna mihemko kama yenu kocha hawezi fukuzwa kirahisi namna hiyo. Naungana na Shadeeya timu ilikuwa inacheza poa sana sijui nini kimetokea kwa kweli.

Sawa, sisi kama kawaida, 'Adui mwombee njaa".

Sisi tunazipokea salamu za sare sare maua kwa raha sana.
 
Sawa, sisi kama kawaida, 'Adui mwombee njaa".

Sisi tunazipokea salamu za sare sare maua kwa raha sana.
Mtani tarehe 8 usije ukashindwa kuondoka uwanjani baada ya mpira kuisha kama siku ile mlipocheza na JKT.Usije na matokeo uwanjani mtani madhara ni makubwa kiafya.
 
Mtani tarehe 8 usije ukashindwa kuondoka uwanjani baada ya mpira kuisha kama siku ile mlipocheza na JKT. Usije na matokeo uwanjani mtani madhara ni makubwa kiafya.

Sawa Mtani, tar 8 tutakuja kurudisha salamu mlizotutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…