Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 40
Ukweli hajageuza vyombo vyake kumtukuza lakini la kutoa uhuru maslahi ya wafanyakazi hilo ni la kitafiti zaidi
Diallo ni mnyantuzu mjanja sijapata kuona!
Teh teehh teeehh
wakati yeye akiwa waziri alithubutu kumnyooshea kidole waziri yoyote? au ni kutoelewana kwa wawili hawa? na ikumbukwe alipania tokea kkao cha kwanza cha kamati ya bunge walipopitia `FIRST DRAFT` au ndo yaleyale ya next election???? NAWAKILISHA!
Nadhan ulimaanisha kuwasilisha,siyo kuwakilisha,ebu tujaribu kutumia kiswahili fasaha.
Dialo si lolote si chochote kwani alipokuwa bosi wa wizara ya Maliasili na utalii aliendesha operation ya kuondoa wavuvi haramu lakini alipozama na bot akielekea ukerewe aliokolewa na wavuvi hao hao.
msimamo wake ni kwa kulipiza kisasi baada ya kutemwa katika cabinet ya JK inagawa hoja yake ni ya msingi lakini kwa nini sasa hivi.
Diallo ni mnyantuzu mjanja sijapata kuona!
Hujapekua pekua...Diallo ni mnyantuzu mjanja sijapata kuona!
Kwa muda fulani nilikiuwa naangalia mwenendo wa wamiliki wa vyombo vya habari wanavyotumia au vyombo vinavyowatumia na pia naangalia malalamiko yanayohusu wamiliki wa vyombo vya habari.
Sikumbuki ni malalamiko gani yamelengwa kwa Mh. Antony Diallo anayesemekana kumiliki Star Tv na Radio Free Africa etc.
Nadhani huyu anaweza kuwa ROLE MODEL.....
Wadau mnasemaje kuhusu hili????