duhh hili dude la katoliki kiboko halirudi nyuma na halichoki sema point limeshindwa kuzitafuta kapokea ngumi za kichwa nyingiNa pongezi kwa makocha wa Joshua naamini walimtahadharisha kukaa karibu na huyo mbuzi katoliki, bila hivyo tulikuwa dakika hizi tunaongea mengine na misonyo juu
wacha tuoneAmewashukuru watu wengi mpka Mike Tyson
Naisi kuna ushauri amepewa na amesema awezi staafu na ikitokea kuna pambano tena la 3 na Ruiz atacheza aka muita Ruiz akamuuliza una staafu Ruiz anataka pambano jingine naona anataka ku prove kwamba yeye ni best
Nipe video clip ya mbongo round ya kwanza.Mbongo kachapwa na mrembo kabisa dogo rasi hata kifua hana
Hahaha! Ndiyo yaleyaleeee!Hakuna kipya AJ alikua ana rukaruka tu huyo mmexico yuko safi sana.
Sure lakini Andy alitakiwa kutengeneza pesa kwa kumpiga AJ kwenye hili pambano nahakika thamani yake ingepanda sana.hata angeshinda bado angechukua pesa ndogo kwa zile ambazo angelibeba Joshua , vitu Kama hivi vina shusha morali
Mzee hiyo fight ni kubwa mno sio ya kitoto Wilder amalizane kwanza na Fury ndio tuangalie maisha mengine.atauwawa huyo joshwa sijui Joshua wenu
hata mbowe anasemaga hatuitambui raisi aliye shinda ,,,kesho utasikia tuna muomba raisi afanye 1234Andy kakubali kashindwa. Wajinga kutoka Tz wanabisha
Kapigane wewePambano limekosa msisimko.Nilitegemea kungekua na ngumi za hatari ila imekua kinyume chake.
kapambana au kapambwa manundu?Haya sasa tuongee yetu
Nasikia na sisi tulikua na bondia kapambana leo?
Hakuna utamu wa ngumi inapendeza kupigana kwa ushindani siyo kurukaruka na kushika kila mara mpaka inachukiza mmexico kacheza vyema tena kwa kujiamini bila kurudi nyuma.Hahaha! Ndiyo yaleyaleeee!
Wabongo bado hawajui boxing..
hata sasa thamani yake imepanda , who knew him before ya kupigana na Joshua labda kwa wafuatiliaji Wa ndani snaSure lakini Andy alitakiwa kutengeneza pesa kwa kumpiga AJ kwenye hili pambano nahakika thamani yake ingepanda sana.
Kabisaaaa!Era ya Real boxing ishakufa..na haiji rudi tena. Saivi wamebaki ya wakimbia kimbia ulingoni...
Style ya Mayweather..