Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Kilicho mkaba chibonge ni height yake....na si mzuri kwenye upper cut kama alivyo kuwa mike tyson... ukimshambulia kwa papara ni mzuri kwenye kujibu mashambulizi...Antony alilijua hilo ndio maana akacheza kwa kujihami zaidi
 
Mkuu, unafuatilia boxing??.

Wielder ni one dimensional boxer, kama utaweza kuepuka konde lake la mkono wa kulia basi utaweza kumpiga, sasa utawezaje kuwa bondia mzuri kwa kutegemea silaha moja??
Silaha yake kubwa ni Ile right yake tu Ina supernatural power, ukiiepuka na ukapiga coz anajiexpose Sana waweza shinda, Ortiz Alishamuwin akajisahau tu akapigwa na Ile right akazima
 
Huyu ni Luiz wa Chelsea ama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli mkuu!
 

Anthony Joshua vs Andy Ruiz 2 - HIGHLIGHTS
 
AJ hamna kitu kabisa..
Kwanza raundi ya kwanza ruiz hakitaka watu wadebate nani zaidi, alimkung'uta kwa knock out nzuri tu kuepuka mabishano, pili sasa hivi AJ kashinda kwa points na overall kwngu ruiz kashinda. Kuna raundi ruiz alikuwa amalize gemu ila aliremba.
Aj anabebwa na media, pia ukame wa bondia halisi wa uzito wa juu media inalazimisha Aj awe bonge la boxer ila hamna kîtu.
 
Tanzania tulipata bahati na heshima kubwa kujumuishwa mabondia wetu kwenye pambano la Joshua na Luiz.
Ila tulishindwa kuitendea haki nafasi hiyo.
 
Na alilijua hilo ndio maana akawa anacheza KWA tahadhari sana naona huyo mmarekani-mMexico Ali interrupt interview ya AJ kuomba rematch for the third time,trust me asirudie TENA atapigwa VIBAYA mno,
Hahah acheni mhemko !

Hata hii si mlisema atachakazwa vibaya..Joshua sio mjinga, he is a brilliant professional boxer, yani mikanda yako minne imechukuliwa halafu unapewa nafasi ya kuigombania tena, uende kipuuzi puuzi..?
 
The critical comments seem justified to balance the over the top acclaim the commentators are giving to AJ's performance.

This was not a real fight that people wanted to see but a tactical swerving of fighting to gain belts back. Jab and run aren't fighting guys.

How can AJ call himself the heavyweight champion by running away for 12 rounds? If you're a true heavyweight champion, you don't do it by running away. You stand and fight! You show the world what you're made of.

Ruiz was right to beckon him at the end. It's like he turned up to a 100m sprint with a beer belly and a snickers bar.

But fair play to AJ, the only way he could beat Ruiz was sticking to the game plan of running and dancing away like a chicken relying on his jab and superior reach.
 
Best comment, ndio AJ kachukua mkanda kwa kupiga jebu na kukimbia Maywether style, heavy weight champions nilitarajia kuona ngumi za uso kw uso, ndio maana namuona Wilder true champions kwa kizaz hiki, huyu mwamba hana muda wa kukukimbia kimbia, ni piga nikupige
 
[emoji44][emoji44][emoji44]
 


That is the only way the other guys should adopt in order to beat the fast- handed Andy Ruiz to whom inside fighting is his "feast".

The same style of AJ Deontay Wielder will have to adopt if he ever fights Ruiz.
 
Hii mbinu akitumia kwa Wilder haitafanya kazi.

Wote warefu kwa hiyo ni rahisi ngumi ya Wilder kufika , halafu kingine Wilder kukuvaa haoni hasara.

Mkuu kama Wilder anapiga na Andy akijifanya kumvaa basi itakuwa kama Joshua ataenda chini.
Andy akikupiga moja ya kichwa lazima upate wenge jamaa ana ngumi nzito mno.
 
Hapa ndio nakumbuka maneno ya Tyson Fury akimzungumzia AJ, nanukuu, " AJ is not a boxer, he is just a body builder," AJ hana skills zozote za boxing zaidi ya kushinda kijanja janja

Sasa mkuu huyo Fury anajua boxer gani na yeye si janja tu anakumbatia na kukimbiakimbia..uliangalia pambano lake na fury au Klistchko..yeye huwa anategemea kushinda point tu hanaga skilss zozote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…