Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni afande?Afande Mtaka katika ubora wake!
Nyie polisi poti mwenzenu[emoji23]
Alikuwa Police huyo.....Ni afande?
Police wamuige ni mtu poa sanaAlikuwa Police huyo.....
Sisi kwa kinyakyusa tunaita 'Herding behaviour an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of panic or fear of their leaders (amygdala ) a.k.a unyumbuAmetoa angalizo zuri sana, japo angalizo kama hili lingependeza zaidi kama lingetolewa awamu iliyopita, awamu ile ndio ilikuwa na wengi walio balehe.
Amdygala ndio kinyakyusa chenyewe au?Sisi kwa kinyakyusa tunaita 'Herding behaviour an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of panic or fear of their leaders (amdygala) a.k.a unyumbu
Sasa mbona yuko poa hv ana roho nzuri Sana ilikuaje akawa police huyu mwambaAlikuwa Police huyo.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuliza Matacle wewe!!!!Tuliza matako
Jiwe alikuwa na watu aisee sijui aliwaokota wapi
Amdygala ndio kinyakyusa chenyewe au
Kama ajira .....sio weledii...Sasa mbona yuko poa hv ana roho nzuri Sana ilikuaje akawa police huyu mwamba
Katika uongozi wake Anthony Mtaka kule Simiyu kuna makada wa chama mamia wako gerezani kwa kesi za kubambikwa hasa wakati wa uchaguzi je nayeye alikuwa yuko kwenye balehe ya madaraka ?Ametoa angalizo zuri sana, japo angalizo kama hili lingependeza zaidi kama lingetolewa awamu iliyopita, awamu ile ndio ilikuwa na wengi walio balehe.
Angekuwa mtu poa kule Simiyu kusingekuwa na kesi nyingi hivyo za uchaguziPolice wamuige ni mtu poa sana
Ile picha ya nick wa pili na yule mlimbwende jana. Ina akisi haya! Hakuna kipya hapoAlitoa kauli hii kabambe mara tu baada ya kumaliza kuwaapisha wateule wapya kwenye nafasi ya Ukuu wa Wilaya Mkoani Dodoma.
Bila shaka kauli hii kali ililenga kuwakumbusha Viongozi hao wapya wasitumie madaraka yao vibaya
Chanzo : Mwananchi
View attachment 1826718
sorry typing error instead it is amygdalaAmdygala ndio kinyakyusa chenyewe au?